Nani kaipindisha..?Tunataka nchi iliyoonyoka 2020
Hivi lipo hilo jambo? Yani tangia dunia kuumbwa kwake, iwe wewe ndiye binadamu wa Kwanza kulifanya, jambo hilo lipo kweli?Sema unataka kuweka historia yako
Kuvunja rekodi ni pale unapofanya kitu hakijafanywa na mwingine
Yapo mambo mengi tu! Wengine walifanya kidogo wewe unakuja kuzidisha pale walipokomea. Pia uvumbuzi wa vitu vipya bado unaendelea, dunia bado changa sana ukilinganisha na tulikotokaHivi lipo hilo jambo? Yani tangia dunia kuumbwa kwake, iwe wewe ndiye binadamu wa Kwanza kulifanya, jambo hilo lipo kweli?
We jamaa umenifurahisha sana.leo, Raha jipe.mwenyewe bwanaShukrani sasa safari imeiva naamini ntafurahia sana japo sina ninachofuata Mwanza
nitoe ushamba hivi ile dira ya ndege sio electronic device au ndege haitumii kifaa cha umemeOnce you reach cruising level . Don't use any electronic device during takeoff and landing. Switch them off.
Unaweza kuweka kwenye Flight Mode inaruhusiwa. Unaweza ukatumia WIFI ya ndege ukiwa kwenye flight modeOnce you reach cruising level . Don't use any electronic device during takeoff and landing. Switch them off.
LoasaNani kaipindisha..?
Hata mtoto wa siku 1 anajumuishwa kwenye tiket ya mtu mzimq. Acha ubahili wa kishambaHivi mtoto kuanzia miaka mingapi inabididi nimkatie tiketi?
Inaruhusiwa na kupokea na kupiga simu ukiwa ndani ya ndege ?ha ha ha aha tafuta laki tatu na elfu 20 nenda kwa wakala wa kukata tiketi za ndenge waambie nataka return tiketi ya mwanza kwa fast jet watakupa tiketi ya kwenda na kurudi.
Siku ya safari wahi saa moja kabla ya safari pale airport ubebe na kitambulisho chako chochote ukiwa na kupigia kura itakua vizuri zaidi then zingatia muda watu wa ndege wako makini na muda sana.
Baada ya maelezo hayo nakutakia safari njema usisahau kubeba simu yenye kamera kwa ajili ya kujipiga selfie ukiwa angani wanaruhusu usihofu na ukumbuke kuludi na ndoo ya samaki toka Mwanza
Wakuu habari za leo.
Kichwa kinajieleza, sasa nataka kuvunja rekodi hii, naomba kufahamu A to Z, nikitaka kwenda Mwanza toka Dar, naanzaje?