RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,832
- 129,735
Hio ni kwasababu ya pressure. Vindege vidogo havins pressurized cabin sasa rubani hatakiwi kuruka juu sana vinginevyo tofauti ya pressure itawazibua masikio. Ila marubani wengine wanaruka juu kubania mafuta ndio matokeo yake wanaumiza abiria masikio kwasababu ya pressure.Nilishawahi kwenda mafia mara mbili na hivi vindege vidogo nilifika masikio yameziba sisikii kitu, bahati mbaya hii safari ya mwisho nilitakiwa nitoe mada kwenye taasisi flani, kufika natakiwa niende moja kwa moja ukumbini nikatoe mada maana watoa mada wengine walikuwa tayari nilikuwa nasubiriwa mm tu, aisee ilibidi niingie chooni kwanza nikawa nalazimisha miayo nakupanua mdomo nilirudia zoezi hilo kwa mida km dakika 10 hali ikawa afadhali.
Ndege kubwa zina pressurized cabin ndio maana zinaruka hadi 30,000ft