Sijawahi kuona Padre kilema

Sijawahi kuona Padre kilema

Kutokana na nature ya maisha yao huwa hawatoi nafasi kwa mtu mwenye disability kuwa ordained, kumbuka padri hana familia so in most cases anatakiwa kuji handle mwenyewe bila kutegemea usaidiz wa mtu mwingine, vile vile anawajibika kufanya kazi katika mazingira tofaut tofauti hii inapelekea wengi wanaoenda kule na kupadrishwa ni wale wanaokidhi vigezo hivyo,

Wale unaoona wana disability ujue waliipata wakiwa mapadri tayari.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Fr. Mssinyori Mbiku (Paroko wa chuo kikuu cha Dsm) na pia ni msaidiz wa Askofu wa Jimbo kuu la Dsm, Mwashamu Askofu mkuu Policap Pengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ni kigezo kimojawapo...Na pia hakuna padre hanithi(ashakum si matusi)

Kwanini...?

Upadre na Sadaka(Sacrifice)...yani unajitoa mzima mzima kama ulivyo....Yani si una-opt kuwa padre kwasababu wewe ni mlemavu, au wewe audi.n...d ndio unakimbilia upadre..upadre ni Sadaka iliyosafi..ni kujitoa..bila kujibakiza..

Wajuzi watajazia nyama
Kuhusu ukhanithi ntakuelewa. Ila issue ya kuwa kilema hafai kuwa mtumishi wa mungu (padre) huko ni kubaguana kipuuzi..!

Mtu anazaliwa kilema sio kwa kupenda ila ni mambo ya kibinaadamu tu, na sio kama alipenda, sasa inakuaje mumbague katika kumtumikia mungu wake.?

Sijapendezwa na hili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachojua mtu hawezi kuwa padre kama ni hanithi.
 
Ungekuwa mkatoliki nadhani swali la kitoto hivi usingeliuliza hapa. Upadre ni kujitoa kwa Mungu na huwezi kumtolea Mungu kitu chenye kasoro. Lazima uwe mkamilifu usie na mawaa ndipo unaweza kujitoa kumtumikia Mungu na kanisa kama kuhani(padre)
Kwa hiyo mungu anabagua watu wake mwenyewe?! Na kwanini aumbe vilema kama yeye mwenyewe hawataki..?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Zanzibar Asp

Wakati nikifanya mafundisho ya kufunga ndoa niliwahi kujenga hoja kwamba Kwanini Kanisa lisiruhusu kutesti siraha (nadhani naeleweka) ili pamoja na mambo mengine muoaji/muelewaji aweze kuthibitisha uwepo na utendaji kazi wa machine ya mwenzi wake..!!

Jibu nililopewa ni kwamba Kanisa linataratibu nyingi za kufanya ili kuondoa mtanziko huo. Na ndiomaana kuna Masister ambao hawa wazi kushindwa kugundua udhaifu wa mwenzi wako Ukitaka kuthibitisha hilo. Ninaamini wale masister wanauwezo wa kumfanya mwanamke "akojoe" bila kukutana na mwanaume.

Kujibu swali lako, ni kwamba.. hilo ni zoezi dogo sana kwa taasisi ya Kanisa Catholic kuweza kulifanya bila uwepo wa Mwanamke (kulingana na fikra zako) naamini hata mimi tu (muumini na Mwanaume wa kawaida) ninauwezo wa kukufanya usimamishe na UKOJOE achia mbili kwa taasisi ya Kanisa Catholic....!!

Mkuu kuwa Padre wa Kanisa Catholic si rahisi pengine naweza sema.... Kuupata Urais wa Nchi nyingi tu duniani ikiwemo na Tanzania ni rahisi kuliko kuwa Padre wa Kanisa Catholic kote duniani..!! Wanaraha sana wanaojiita wachungaji ambao unaweza kalala ukaota ndoto kuwa unasemasema balabalani kisha asubuhi ukaigeuza nyumba yako na mkeo na wanao wakawa waumini wako wa awali...!!

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo masista si wanafanya usagaji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je nikigezo kimojawapo cha kuwa Padre?
Uliwahi kumsikia nabii au kuhani kilema katika biblia???

Au Mitume wa Yesu uliwahi kuhoji kwanini hakuchagua kilema?? Am kwanini hakuwahi kuwa na mtume mwanamke??

Iko hivi katika kanisa upadre ni sadaka, yaani mtu hujitolea akiwa na afya yake kamilifu(viungo na kidume kwelikweli/anatakiwa kuwa na nguvu halisi za kiume).

Kanisa haliwezi kumpokea mtu mwenye afya hafifu maana watu wenye matatizo ya afya wanaweza kuona kanisani ndiyo sehemu ya kujificha. Pia nature ya kazi kueneza injili ni kazi ya kusafiri na kujitolea zaidi so inabidi mtu awe fiti mentally and physically.

Bila shaka ata wewe huwezi kukubali kumtolea Mungu Sadaka dhaifu kama kilema.
 
Nimuewahi muona mmoja hata asubuhi hii nimeonana naye. Though naye aliwahi nisimulia chamgamoto alizopitia mpaka hapo alipofika. Ni dhahiri kuna ubaguzi na mapokeo ya kipuuzi kuhusiana na ulemavu ktk utumishi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa alilemaha baada ya kuwa padri hawaruhusu...!
 
Ulemavu.....mfano ni pamoja na kuwa kibofu, bubu, kiziwi, ulemavu wa akili, ulemavu ni dhana pana hata hanith ni mlemavu, swali je... Unaweza kuongozwa na Bubu?.....au padri awe mlemavu wa akili?....
Vipi akiwa na macho kumchuzi?
 
Wengi Sanaa wapo, kwa mfano ni mapadri wachache Sanaa ambao wakiwa wanasoma bibble hawatumii miwani ya lensi, kutoana vizuri nako ni ulemavu tena mbaya kuliko wa viungo kama miguu na mikono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom