Sijawahi kuona Padre kilema

Sijawahi kuona Padre kilema

Kilema ndio nini kwanza???? ukiweza kujua maana ya kilema utapata majibu ya swali lako!
 
Kwahiyo padri akipata ajali na kukakatika mguu anavuliwa upadri wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
La; Hasha. Hebu nikuulize hivi: Je, mwanandoa akipata ajali/akiugua na kutokana na ajali au ugonjwa huo e.g. akiparalyse na ikawa nanihii sime haitokata tena..na ni jambo la kudumu, je hiyo ndoa itavunjika? kwa mujibu wa sheria ya ndoa ya Kikristu esp.ya kikatoliki kifo tu ndo kinachoweza kuwatenganisha hao. Hapo imekaaje? Pitia comments hapo juu vizuri na kwa moyo wa kutaka kujua utapata uelewa.
 
Wapo walemavu wengi kwenye Biblia waliopakwa mafuta kutumikia kazi ya Mungu. Mmojawapo ni MUSA(Kutoka 4:10-17).
Hatuwezi kumpangia Mungu nani wa kwenda kumtumikia. Anaweza kumchagua yeyote pasipo kuzingatia Maumbile, Mapungufu, Umri au jinsia. Ndio maana biblia inawataja hadi watoto na wanawake waliopakwa mafuta ili kufanya kazi ya Mungu.
Wewe ndo huwezi panga lkn Wakatoliki wamejiwekea utaratibu wao.Kumtumkia Mungu sio lazima uwe Padre
 
mada hamuijui ili ujue kua ukiwa mlemavu uwezi pewa upadle wanamanisha watahalibiwa maombi yaoo wakati watakopo kwambia tunaponya viwete hutaamini wakati yeyenikiwete kwahio hawataki walemavu wasihalibiwe kaziyao huku wawadanganye eti tunaponya viwete kuna ndunguyagu alikuwa na mtoto akemlemavu akasikia eti kuna kongamano lauponyaji akaenda alitoa pesa kila siku mpakaleo mtoto ni mlemavu kwahio hata kama wewe umesomea utumishi ukiwa mlemavu upewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UFAFANUZI WA KIMANTIKI.

1/Kanisa katoliki lina utaratibu wake wa ndani wa kupata Mapadri, na utaratibu huo sio lazima uwe sambamba sana na biblia ilivyokuwa ikiwapata watumishi wake.

2/Mambo makuu ya msingi yanayotazamwa na kanisa katoliki katika kumpata padri ni...
-Jinsia kamili ya kiume(Uvulana).
-Uchaji wa Imani ya kikatoliki.
-Kujitoa kimaisha(Nadhiri ya milele)
-Uwezo wa kimwili(Physical Capability).
-Uwezo wa Kiakili(Mental capability).
 
mada hamuijui ili ujue kua ukiwa mlemavu uwezi pewa upadle wanamanisha watahalibiwa maombi yaoo wakati watakopo kwambia tunaponya viwete hutaamini wakati yeyenikiwete kwahio hawataki walemavu wasihalibiwe kaziyao huku wawadanganye eti tunaponya viwete kuna ndunguyagu alikuwa na mtoto akemlemavu akasikia eti kuna kongamano lauponyaji akaenda alitoa pesa kila siku mpakaleo mtoto ni mlemavu kwahio hata kama wewe umesomea utumishi ukiwa mlemavu upewi

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh. Mloki?!?
 
Wewe ndo huwezi panga lkn Wakatoliki wamejiwekea utaratibu wao.Kumtumkia Mungu sio lazima uwe Padre
Mkuu hatuwezi kumpangia Mungu nani wa kwenda kumtumikia na nani asiende kumtumikia. Mungu anaweza kumchagua mtu yoyote ili akamtumikie. Hatuwezi kumwekea Mungu mipaka katika hilo.

Sisi tunaweza tu kuchagua watu wa kwenda kutumikia dini na imani zetu(na ndio kanisa katoliki hufanya kwa mapadri wake).
 
mada hamuijui ili ujue kua ukiwa mlemavu uwezi pewa upadle wanamanisha watahalibiwa maombi yaoo wakati watakopo kwambia tunaponya viwete hutaamini wakati yeyenikiwete kwahio hawataki walemavu wasihalibiwe kaziyao huku wawadanganye eti tunaponya viwete kuna ndunguyagu alikuwa na mtoto akemlemavu akasikia eti kuna kongamano lauponyaji akaenda alitoa pesa kila siku mpakaleo mtoto ni mlemavu kwahio hata kama wewe umesomea utumishi ukiwa mlemavu upewi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huelewi kitu chochote kaa kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rijali maana yake ni mwanaume mwenye nguvu za kiume (Kumtamani mwanamke+kusimamisha uume+kumwaga manii)

Sasa embu tueleze, kanisa katoliki wanawezaje kujua kama kweli mtu ni rijali ili akawe padri?
Mkuu Zanzibar Asp

Wakati nikifanya mafundisho ya kufunga ndoa niliwahi kujenga hoja kwamba Kwanini Kanisa lisiruhusu kutesti siraha (nadhani naeleweka) ili pamoja na mambo mengine muoaji/muelewaji aweze kuthibitisha uwepo na utendaji kazi wa machine ya mwenzi wake..!!

Jibu nililopewa ni kwamba Kanisa linataratibu nyingi za kufanya ili kuondoa mtanziko huo. Na ndiomaana kuna Masister ambao hawa wazi kushindwa kugundua udhaifu wa mwenzi wako Ukitaka kuthibitisha hilo. Ninaamini wale masister wanauwezo wa kumfanya mwanamke "akojoe" bila kukutana na mwanaume.

Kujibu swali lako, ni kwamba.. hilo ni zoezi dogo sana kwa taasisi ya Kanisa Catholic kuweza kulifanya bila uwepo wa Mwanamke (kulingana na fikra zako) naamini hata mimi tu (muumini na Mwanaume wa kawaida) ninauwezo wa kukufanya usimamishe na UKOJOE achia mbili kwa taasisi ya Kanisa Catholic....!!

Mkuu kuwa Padre wa Kanisa Catholic si rahisi pengine naweza sema.... Kuupata Urais wa Nchi nyingi tu duniani ikiwemo na Tanzania ni rahisi kuliko kuwa Padre wa Kanisa Catholic kote duniani..!! Wanaraha sana wanaojiita wachungaji ambao unaweza kalala ukaota ndoto kuwa unasemasema balabalani kisha asubuhi ukaigeuza nyumba yako na mkeo na wanao wakawa waumini wako wa awali...!!

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesali kote Dunia, uko vizuri sana!

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Zanzibar Asp

Wakati nikifanya mafundisho ya kufunga ndoa niliwahi kujenga hoja kwamba Kwanini Kanisa lisiruhusu kutesti siraha (nadhani naeleweka) ili pamoja na mambo mengine muoaji/muelewaji aweze kuthibitisha uwepo na utendaji kazi wa machine ya mwenzi wake..!!

Jibu nililopewa ni kwamba Kanisa linataratibu nyingi za kufanya ili kuondoa mtanziko huo. Na ndiomaana kuna Masister ambao hawa wazi kushindwa kugundua udhaifu wa mwenzi wako Ukitaka kuthibitisha hilo. Ninaamini wale masister wanauwezo wa kumfanya mwanamke "akojoe" bila kukutana na mwanaume.

Kujibu swali lako, ni kwamba.. hilo ni zoezi dogo sana kwa taasisi ya Kanisa Catholic kuweza kulifanya bila uwepo wa Mwanamke (kulingana na fikra zako) naamini hata mimi tu (muumini na Mwanaume wa kawaida) ninauwezo wa kukufanya usimamishe na UKOJOE achia mbili kwa taasisi ya Kanisa Catholic....!!

Mkuu kuwa Padre wa Kanisa Catholic si rahisi pengine naweza sema.... Kuupata Urais wa Nchi nyingi tu duniani ikiwemo na Tanzania ni rahisi kuliko kuwa Padre wa Kanisa Catholic kote duniani..!! Wanaraha sana wanaojiita wachungaji ambao unaweza kalala ukaota ndoto kuwa unasemasema balabalani kisha asubuhi ukaigeuza nyumba yako na mkeo na wanao wakawa waumini wako wa awali...!!

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo yako, napata picha kuwa huenda wanapigishwa Punyeto fulani maalum hivi ili kuwagundua huo urijali wao kabla ya kuruhusiwa kwenda kuwa mapadri.
 
Asante sana.
Biblia inasema Musa alikuwa na ulemavu wa kuongea (Bubu!?), hakuwa na Uwezo wa kuongea kwa sauti akasikika na kuelewekeka. Na ni ulemavu aliokuwa nao hata kabla hajapata utume(kupakwa mafuta), na hata alipopakwa mafuta ya kwenda kutumikia kazi ya Mungu, Musa alikataa kwa sababu hiyo ya ulemavu huo. Mwisho wa siku Mungu akamchukua Haruni kuwa msaidizi wa Musa katika kuongea mbele za watu nk.

KUTOKA 4:10-17
Mkuu unapotosha.
1. Musa hakuwa "bubu", bali alikuwa na kigugumizi.

2. Musa hakuwa kuhani, hivyo hakuwahi kupakwa mafuta. Kuhani alikuwa Haruni. Wsliokuwa wsnapakwa mafuta kwa desturi ya kiyahudi ni makuhani na wafalme.
 
Ulemavu.....mfano ni pamoja na kuwa kibofu, bubu, kiziwi, ulemavu wa akili, ulemavu ni dhana pana hata hanith ni mlemavu, swali je... Unaweza kuongozwa na Bubu?.....au padri awe mlemavu wa akili?....
 
Back
Top Bottom