Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,078
Wapo walemavu wengi kwenye Biblia waliopakwa mafuta kutumikia kazi ya Mungu. Mmojawapo ni MUSA(Kutoka 4:10-17).Mkuu sakrament ni nyingi tu,na hakuna anayepata zote,kwa mujibu wa kanisa. Lakini katika biblia hizo sakrament sijaziona ndio maana nimezungumzia kupakwa mafuta maana hilo lipo kibiblia,isijekuwa tunazungumzia vitu tofauti hapa. Je kuna mpakwa mafuta aliyekuwa mlemavu katika biblia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kumpangia Mungu nani wa kwenda kumtumikia. Anaweza kumchagua yeyote pasipo kuzingatia Maumbile, Mapungufu, Umri au jinsia. Ndio maana biblia inawataja hadi watoto na wanawake waliopakwa mafuta ili kufanya kazi ya Mungu.