mujunwa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 425
- 557
Mi pia cjawahi ona shehe kilema na Rais kilema.Kusali kwangu kote hapa duniani sijawahi kukutana na padre kilema. Au ni makanisa ninayo sali tuu? Je ni kigezo kimojawapo cha kuwa Padre?
Sent using Jamii Forums mobile app

