ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,305
Sijawahi gundua hilo mkuu,labda unijulishe kama alikuwa na ulemavu gani na ulianzia wapi?Mkuu usikufuru.
Mbele ya Mungu, mapungufu yako ya kimwili sio issue kabisa. Mungu akikuchagua, hakuna wa kupinga. Yeyote yule anaweza kupakwa mafuta. Ni mungu mwenyewe anaamua.
Unamjua Musa wewe?
Nenda kamsome halafu utagundua alikuwa na ulemavu gani.
Sent using Jamii Forums mobile app