Kwa hapa manzese wazungu wanapatikana wapi?Wakuu
Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
Wazungu walishaacha u-fisi siku nyingi sana.Wakuu
Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
Huo utafiti umeufanyia hapo Shinyanga au?Wakuu
Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
Unauliza nn km umesema hujawahi kumwona akitafuna mfupa. Kwani kuna mtu anaweza kutafuna mfupa? Tafuta kt kingine cha kuandikaWakuu
Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?
Umeshakaa na wazungu wangapi wakila nyama zenye mifupa? Wewe siku sio nyingi utasema hujawahi kuona wazungu wakijisaidia kama wewe.Wakuu
Hivi wazungu huwa hawali nyama zenye mifupa kama sisi waafrica?