Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
Wahaya wanapowashinda makabila mengine tena kwa mbali ni kwenye ile biashara ya wadada wa Kihaya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya wanapowashinda makabila mengine tena kwa mbali ni kwenye ile biashara ya wadada wa Kihaya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kweli ndo maana hakuna maendeleoTatuzo la watu wa Kagera ni roho mbaya, wivu na husda hii inatolana na majigambo ajabu kabisa wanaonea wivu wenyewevkwa wenyewe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona huu uzi muda si mrefu utageuka kuwa uwanja wa ngumi kati ya k'njaro na Kagera.
Hebu acha mambo yenu msaidieni Ndalichako kwa nini mikoa mingine Kama kwake Kigoma na jirani zake Tabora, Katavi, Rukwa kwa nini hawafanyi vizuri?
Hii yote ni chuki Tu binafsi Kwa elimu ya kagera.unataka kuniambia wasomi WA kagera hawajaendelea au ni maskini.we vip kwanza Acha kulingani elimu ya kagera na huko Kilimanjaro.asilimia kubwa ya wabongo wanaisikia Tu kagera wala hawajawahi kufika naomba utoe elfu 60 tembelea vijiji vya wahaya na unipe mrejesho kama elimu Yao inawasaidia au vipMkuu usidanganye umma.
Kagera inaongoza kwa kuwa na wasomi wengi tanzania wasio na elimu.
Kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na watu wenye elimu kubwa wasio wasomi.
Linganisha matumizi ya elimu kilimanjaro na kagera.
Pia
Ulinganishe matumizi ya wasomi kagera na kilinanjaro.
Msomi mwenye masters kutoka kagera ukimlinganisha kielimu ni sawa na msomi mwenye kidato cha sita kutoka kilimanjaro
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika na unachokiongea au unaaminishwa Tu . ulishawahi tembela vijiji vya wahaya lakini Achana na mji wa bukoba.mambo yanajengwa vijijini huko . vijiji vya bukoba huwezi linganisha na vijiji vya popote paleHuu mkoa watu wake wanapenda sifa mno cha ajabu kwao ni pabaya wala hawapaenselezi, yaani moundombinu mibovu, mkoa kama kijiji vile.....
wako kujisifia tu, ukifika kwao vi nyumba vya ajabu ajabu tu
Mchaga akifanya kazi BOT atakuambia nafanya tu vibarua kidogo hapa mjiji
Mhaya akiwa mlinzi utasikia mimi ni security specialist sijui nini nini
U people stop comparing ur self with chaga, hmuwafikiii hata punje
Sent using Jamii Forums mobile app
Waweke kwanza ya form two yametoka leo A some hayo majina ya kike top ten na kiume top ten ndiyo ataufahamu Mkoa wa Kilimanjaro na kwa kifupi wachaga. Mabinti Karibu wote top ten ni wachaga hata kama wanasoma .mikoa .lingine lakini ni chagas.
Tatizo wakishaelimika wanatumia akili zao na elimu zao kupiga madili na kulitia taifa hasara(SIO WOTE)Hizo akili nyingi zimewasaidia nini?
Twaimukamu wamawe,obwile buta okwo?
Nigarungi wamawe tozoka yawe!