Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,245
- 9,578
Jibu sahihi umelikanusha hapo mwanzo wa mada yako may be kwa kuogopa kushambuliwa.
Mimi nasemaje watu wa kagera wana akili sana(sio wote) za darasani kuliko baadhi ya watu wa mikoa fulani.
Kwa mfano huwezi kuwalinganisha mhaya na mzaramo kwa akili za darasani.
Huo ndio ukweli.
Hutaki unaacha.
Mwalalayo muta bakulu?
Mimi nasemaje watu wa kagera wana akili sana(sio wote) za darasani kuliko baadhi ya watu wa mikoa fulani.
Kwa mfano huwezi kuwalinganisha mhaya na mzaramo kwa akili za darasani.
Huo ndio ukweli.
Hutaki unaacha.
Mwalalayo muta bakulu?