Huyo dada mbulula tu....unyama huo bado unarudi, kama ni dini kweni hakujua kama kuna utofauti wa dini toka mwanzo....some shit we create and when they back fire tunapiga kelele
Maana jamaa aliwachezea akili wadada wote wawili kwa tamaa zake.
du afadhali nisubiri pale pa siku ile
ndio pale pale
kosa la huyu dada mpaka kuitwa mvamizi ni nini?..ye nae alishawishiwa kuolewa kama wanawake wengine tunavyoshawishiwa...mwenye shida hapa ni mwanaume..sio mdada mwenye mimba na mtoto wala huyu adada aliyekuja baadae
tumia condom
NSHATOA:embarrassed:haya toa hoja yako
Watu wengine sijui mnaumwa uchizi? Hivi hapo aliyeleta udini nani kama sio wewe.? Hizi dini tumeletewa tu zisikufanye uwe mtumwa kifikra. Nyambaf.......alichazungumzia jamaa ni COERCED MARRIAGE sio dini. Una shida sana wewe na hiyo imani yako. Me.nde wewe mdudu wa choo kichafu na giza usiependa vitu vizuri.Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!
Watu wengine sijui mnaumwa uchizi? Hivi hapo aliyeleta udini nani kama sio wewe.? Hizi dini tumeletewa tu zisikufanye uwe mtumwa kifikra. Nyambaf.......alichazungumzia jamaa ni COERCED MARRIAGE sio dini. Una shida sana wewe na hiyo imani yako. Me.nde wewe mdudu wa choo kichafu na giza usiependa vitu vizuri.
Mazakanywafanta weeeeeeee...........[/QUOT
kukosa busara na hekima huku. Pole sana, kila kitu mnaingiza udini tu. Badiliki kifikra dini haitakusaidia chochote hapa dunia. fu**k you she. inzi type
Dada punguza kwanza hasira,maana unaongea huku una hasira sana,binafsi sijaelewa hasira yako ipo kwenye nini haswa au kwa nani haswa kati ya hao watatu japokuwa mwishoni umezungumza mambo mawili tofauti..Wakuu kama heading inavyojieleza hapo juu,ni kweli nimefurahi sana na wala sijasikitika hata kidogo
Iko hivi,ther is this guy,kwa nje he's very humble and smart but I don know what got in to him mpaka akawa na maamuzi ya kijinga,kipuuzi kipumbavu,I think hii inaitwa tugawane Maumivu
The guy bwana alikuwa na gf wake ambae wamekuwa kwenye relationship for seven deadly years,The gal gave everthing to the guy mpaka ikafikia hatua ya kuishi pamoja( ila walikuwa hawajafunga ndoa )
Wameishi four years at last the guy akapropose kuwa its better if watafunga ndoa,Bi dada si akakubali,shughuli ikaja kwenye aina yenyewe ya ndoa,dada mkristo,kaka muislam,hawakufika muafaka nani amfuate mwenzie,Kumbuka hapo washazaa kitoto chao cha kiume chenye miaka 3/4,Basi vuta nkuvute,vuta nkuvute,Ikashindikana,ikabidi the guy amwambie bi dada yeye amempata muislam mwenzie na anataka kumuoa
Basi dada wa watu akalia sana akimsihi mwanaume wafunge ndoa bomani lakini wapi ilishindikana,meanwhile dada alikuwa na mimba ya pili ya kama miezi 3 hivi,The guy ana pesa akamwambia bi dada ntakupa 30 percent ya assets zangu ili tu tuachane,mdada akakubali kwa kinyongo,akarudi kwao na mimba yake na mwanae,mkaja akafurahi akaanza kujiachia na bi dada mpya,bi dada full mashauzi sasa,Astaghafillulah,mipango ya ndoa ikaanza na huyo dada mpya,show offs to death....
Mungu bwana siyo Juma wazazi wa mwanaumw si wakaingilia,wakamwambia jamaa aakimuoa huyo mke mpya basi yeye awasahau wazazi wake,uwii si ikabidi mwezi kabla ya harusi bi harusi muingiliaji ataarifiwe kuhairishwa kwa ndoa na wa zamani ndo akaolewa na tumbo lake kubwaaa
LESSON: WAKAKA HAMPENDI SINGLE MOMS WHILE NYIE NDO MNAOWAACHA BILA SABABU WAKAOLEWE NA NANI WAKATI WAUME ZAO NI NYIE?
WADADA: KUINGILIA MAHUSIANO YA MWENZIO CYO KITU KIZURI,MAUMIVU ANAYOYAPATA UKIYAPATA WEWE HUTAWEZA KUYAVUMILIA
pole dada kumbe n wewe nlpata stor yako hii nashukuru umeileta jf.pole sana yule mshkaj alhkuwa ananiambia amekuchoka aktafuta sababu 2.et chuchu zmelala pole dada
Dada punguza kwanza hasira,maana unaongea huku una hasira sana,binafsi sijaelewa hasira yako ipo kwenye nini haswa au kwa nani haswa kati ya hao watatu japokuwa mwishoni umezungumza mambo mawili tofauti..