Sijasikitika, nimefurahi sana

Sijasikitika, nimefurahi sana

Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!

Sa hapo kaolewa au kahalalisha zinaaa...
 
Sasa miaka yote saba wanaishi hawakuwa kuzungumzia suala la tofauti za kidini hadi wanafika hatua ya kukataana baada ya kuwa wameshakuwa wazazi?? Japo ndoa imefungwa lakini imebebwa na wazazi



Nnanachokiamini mimi ni kuwa mkaka alikuwa ashampata mwanamke mwingine hivyo suala la dini lilikuwa ni mwamvuli tu ili asionekane amemuacha bila sababu
 
Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!

Povu la nini kuna sehemu nimezungumzia dini hapa?

Na unajua mie n dini gani?
Ovyooo!!
 
Wakuu kama heading inavyojieleza hapo juu,ni kweli nimefurahi sana na wala sijasikitika hata kidogo

Iko hivi,ther is this guy,kwa nje he's very humble and smart but I don know what got in to him mpaka akawa na maamuzi ya kijinga,kipuuzi kipumbavu,I think hii inaitwa tugawane Maumivu

The guy bwana alikuwa na gf wake ambae wamekuwa kwenye relationship for seven deadly years,The gal gave everthing to the guy mpaka ikafikia hatua ya kuishi pamoja( ila walikuwa hawajafunga ndoa )

Wameishi four years at last the guy akapropose kuwa its better if watafunga ndoa,Bi dada si akakubali,shughuli ikaja kwenye aina yenyewe ya ndoa,dada mkristo,kaka muislam,hawakufika muafaka nani amfuate mwenzie,Kumbuka hapo washazaa kitoto chao cha kiume chenye miaka 3/4,Basi vuta nkuvute,vuta nkuvute,Ikashindikana,ikabidi the guy amwambie bi dada yeye amempata muislam mwenzie na anataka kumuoa

Basi dada wa watu akalia sana akimsihi mwanaume wafunge ndoa bomani lakini wapi ilishindikana,meanwhile dada alikuwa na mimba ya pili ya kama miezi 3 hivi,The guy ana pesa akamwambia bi dada ntakupa 30 percent ya assets zangu ili tu tuachane,mdada akakubali kwa kinyongo,akarudi kwao na mimba yake na mwanae,mkaja akafurahi akaanza kujiachia na bi dada mpya,bi dada full mashauzi sasa,Astaghafillulah,mipango ya ndoa ikaanza na huyo dada mpya,show offs to death....

Mungu bwana siyo Juma wazazi wa mwanaumw si wakaingilia,wakamwambia jamaa aakimuoa huyo mke mpya basi yeye awasahau wazazi wake,uwii si ikabidi mwezi kabla ya harusi bi harusi muingiliaji ataarifiwe kuhairishwa kwa ndoa na wa zamani ndo akaolewa na tumbo lake kubwaaa


LESSON: WAKAKA HAMPENDI SINGLE MOMS WHILE NYIE NDO MNAOWAACHA BILA SABABU WAKAOLEWE NA NANI WAKATI WAUME ZAO NI NYIE?

WADADA: KUINGILIA MAHUSIANO YA MWENZIO CYO KITU KIZURI,MAUMIVU ANAYOYAPATA UKIYAPATA WEWE HUTAWEZA KUYAVUMILIA

Nakumbuka hadithi ya Adam na Hawa walipokula lile tunda lililokatazwa. Mungu anamuuliza Adam:"Je, umekula matunda ya mti ambao nilikataza matunda yake usile?" Adamu anajibu: Mwanamke uliyenipa awe pamoja nami, alinipa tunda toka mti ule, nami nikala! Hii tabia ya wanaume kuhamisha makosa yao kwenda kwa imerithiwa toka kwa babu mkuu Adam. Siku matatizo yakitokea ndani ya ndoa, mwanaume hatakuwa na uwezo wa kutatua kama kichwa cha familia, hata yawe madogo kiasi gani! Na akiulizwa kwanini hali inakuwa mbaya katika ndoa yake, atatoa majibu yaleyale yanayofanana na ya Adam kwenye bustani ya Edeni; "Mwanamke mliyenilazimisha kumuoa ndiye chanzo cha matatizo haya ".
 
everything was perfect in this universe until religion showed up.
 
haya chacha!!
alafu unakuta mtu anaingia kwa mbwembweeee nyingi na dharau as if huyo mwanaume kamuumba yeye na anajua fika mwenzie kaumizwa!
malipo ni hapahapa duniani Mungu wa sasa ni kijana yupo kazini.

acha kutishia watu weye
 
Wewe ndo umetafsiri hivyo,ila me wala huko siko,pole mpenzi na wakati mwingine ntaandika kiswahili bila tatizo japo kuna wakati naweza zungumza kiswahili na nikachanganya na Kimanyema
Sawa mpendwa jitahidi uandike lugha moja hasa kwa kiswahili ili nasi tukuelewe.........
 
Back
Top Bottom