Sijasikitika, nimefurahi sana

Sijasikitika, nimefurahi sana

haya chacha!!
alafu unakuta mtu anaingia kwa mbwembweeee nyingi na dharau as if huyo mwanaume kamuumba yeye na anajua fika mwenzie kaumizwa!
malipo ni hapahapa duniani Mungu wa sasa ni kijana yupo kazini.

Teh teh teh....eti Mungu wa sasa ni Kijana
 
Tunapoandika habari heading huwa ni mjumuisho wa habari nzima. Sasa heading yako [h=2]Sijasikitika,nimefurahi sana Inakinzana na conclusion ya habari yenyewe. [/h]Halafu La Princesa nakutafuta

Nimefurahi sana cause atlast wamefunga ndoa,nilijaribu kuvaa viatu vya dada aliyetaka kuachwa na jamaa kisa huyo mvamizi alieachwa a month before ndoa

NiPM mkuu
 
Last edited by a moderator:
Huu uchanganyaji wa lugha kwenye uzi unatupa wakati mgumu sisi wengine tuliokimbia umande....manatusababishia tutembee na kamusi kama tunatunga risala...chagua lugha moja unayoimudu tiririka nayo.....kuchanganya lugha hakukufanyi uonekani mwerevu wala mjanja bali unaonyesha jinsi gani bado una fikra za kitumwa na kitwana...FKRA SAHIHI HUJA KWA LUGHA SAHIHI..........
 
Huu uchanganyaji wa lugha kwenye uzi unatupa wakati mgumu sisi wengine tuliokimbia umande....manatusababishia tutembee na kamusi kama tunatunga risala...chagua lugha moja unayoimudu tiririka nayo.....kuchanganya lugha hakukufanyi uonekani mwerevu wala mjanja bali unaonyesha jinsi gani bado una fikra za kitumwa na kitwana...FKRA SAHIHI HUJA KWA LUGHA SAHIHI..........

Wewe ndo umetafsiri hivyo,ila me wala huko siko,pole mpenzi na wakati mwingine ntaandika kiswahili bila tatizo japo kuna wakati naweza zungumza kiswahili na nikachanganya na Kimanyema
 
Sasa miaka yote saba wanaishi hawakuwa kuzungumzia suala la tofauti za kidini hadi wanafika hatua ya kukataana baada ya kuwa wameshakuwa wazazi?? Japo ndoa imefungwa lakini imebebwa na wazazi
 
Huu uchanganyaji wa lugha kwenye uzi unatupa wakati mgumu sisi wengine tuliokimbia umande....manatusababishia tutembee na kamusi kama tunatunga risala...chagua lugha moja unayoimudu tiririka nayo.....kuchanganya lugha hakukufanyi uonekani mwerevu wala mjanja bali unaonyesha jinsi gani bado una fikra za kitumwa na kitwana...FKRA SAHIHI HUJA KWA LUGHA SAHIHI..........

alafu mtani avatar yako inavua miwani na kuvaa mapaka naogopa
 
Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!

umekuwa mkali kama pili pili ya muhindi loh
 
Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!

Tobaaaa.....we vipi kwani
 
Mdinidini ushaanzaa.. kisa umesikia gaidi kapigwa chini kaolewa mtumishi... Nyamayandafu wewe.. kafieee mbele na dua zako za ngedere kugeuka nyaniii... Mazakanywafanta weeee!!!!!!!!!!!!
nahisi utasherehekea mwaka mpya kwenye BAN
 
Sasa miaka yote saba wanaishi hawakuwa kuzungumzia suala la tofauti za kidini hadi wanafika hatua ya kukataana baada ya kuwa wameshakuwa wazazi?? Japo ndoa imefungwa lakini imebebwa na wazazi

ndio maana sijataka kumuelewa mtoa mada
 
Back
Top Bottom