Sijasikitika, nimefurahi sana

Sijasikitika, nimefurahi sana

sitafanya upumbavu wa kuaamia kwa mwanaume kisa niolewe .. never on earth .. dead or alive .

ila pia wanaume unayempa mwanamke mimba alafu mnatusingizia tunapenda fashion ya single moms mkome

Kwenye mimba ninyi ni waamuzi wa mwisho kupata ama kutopata. Na kama utapinga hili, kwenye kila ndoa kungekuwa na idadi ya watoto wasiopungua 9, kama mtategemea mwanaume atabiri.
 
Sasa miaka yote saba wanaishi hawakuwa kuzungumzia suala la tofauti za kidini hadi wanafika hatua ya kukataana baada ya kuwa wameshakuwa wazazi?? Japo ndoa imefungwa lakini imebebwa na wazazi
Na hiyo itadumu.
 
kosa la huyu dada mpaka kuitwa mvamizi ni nini?..ye nae alishawishiwa kuolewa kama wanawake wengine tunavyoshawishiwa...mwenye shida hapa ni mwanaume..sio mdada mwenye mimba na mtoto wala huyu adada aliyekuja baadae
Nimefurahi sana cause atlast wamefunga ndoa,nilijaribu kuvaa viatu vya dada aliyetaka kuachwa na jamaa kisa huyo mvamizi alieachwa a month before ndoa

NiPM mkuu
 
Paragraph ya tatu kutoka mwisho haieleweki.

Anyway wamekusikia
 
sitafanya upumbavu wa kuaamia kwa mwanaume kisa niolewe .. never on earth .. dead or alive .

ila pia wanaume unayempa mwanamke mimba alafu mnatusingizia tunapenda fashion ya single moms mkome

Hatukomi kwann hukuchomoa wkt...... wa ejaculation ?
 
Hata hivyo hii dini si inaruhusu mke zaidi ya mmoja, jamaa anaweza ongeza tu.
 
....mtoto na mimba si ya huyohuyo kaka???...KWA NINI AMKATAE KWA KUWA SINGLE MOM???..MI Nadhani alimwacha kwa sababu nyingine na si ''usingle mom''
Point!
 
Back
Top Bottom