kwahiyo na mtu kama lissu anategemea aje awe rais kweli? hebu acheni masihara jamani hii ni nchi siyo kifamilia cha mtu
kwahiyo na mtu kama lissu anategemea aje awe rais kweli? hebu acheni masihara jamani hii ni nchi siyo kifamilia cha mtu
wanaandamana kwenye mitandao ya kijamiiMakamanda uchwara ya Dodoma yaliahidi kufanya maandamano leo, sasa sijui yamepotelea wapi.
mtaani wanajuwa wataacha mayatima majumbani kwao maana hatutaki mchezoTweeter sio mtaani
Hao wote aliowataja Lisu hapo awakua vibaraka ndo maana walifanikiwa kwasababu walikua na nguvu ya umma nyuma yao,lakini Mbowe hana nguvu ya umma kwasababu ni kibaraka tu ndo maana wananchi wamempuuza.
Watanzania hawajahi kukinukisha ..... hivyo wao kutokinukisha haina maana kuwa hawamuungi mkono Mbowe au kwamba wanakubaliana na serikali.Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Tuache kulilia Tozo ya Kizalendo inavyotunyonya damu, tukalilie watu ambao hawawezi kulia na sisi sababu hawana uhalisia wa kile tunachopitia.
Hata mwaka jana baada tu ya uchaguzi Tundu, Lema na wengineo walipodai kuwa wamekamatwa, BBC katika mahojiano na Tundu walimuuliza hivyo hivyo, "Mbona hakuna wafuasi/wafurukutwa wenu barabarani kwa ajili yenu? Angalia leo watu wengi wameelekeza shamra shamra za mpira KIGOMA.Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Eti damu ya shujaa, shujaa gani, mtaje tukuumbueWanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Tujitambue na tutambue kuwa kuna watu wanaojitambua ambao hawawezi kuwa bulldozed kiulaini kama unavyofikiria weweWanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Nauliza bipi huko dodoma mbaona sijasikia kama kimenuka?Naona wanalumumba mmefufuka na huu upupu vichwani mwenu
anaupiga mwingi sanaNaona wanalumumba mmefufuka na huu upupu vichwani mwenu
vp akikutwa na hatia kwel?Mm hapa mtanzania wa kawaida nalaani uhuni wote wanaofanyiwa CHADEMA