Sijasikia wananchi wa kawaida wakiwalilia mashujaa wa CHADEMA waliotiwa nguvuni

Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Watanzania hawajahi kukinukisha ..... hivyo wao kutokinukisha haina maana kuwa hawamuungi mkono Mbowe au kwamba wanakubaliana na serikali.
 
Tuache kulilia Tozo ya Kizalendo inavyotunyonya damu, tukalilie watu ambao hawawezi kulia na sisi sababu hawana uhalisia wa kile tunachopitia.

You have stooped too low!! Wanaoweza kulia na ninyi si ndio walioleta hicho mnachokipitia??

Ninaamini kuwa kuondoka kwa kiwango hiki cha upumbavu (sio ujinga) kutaleta neema Tanzania. Uchache wenu itakuwa neema kwa nchi, sasa hivi mko wengi mno - mnatuzuia kusonga mbele!!!
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Hata mwaka jana baada tu ya uchaguzi Tundu, Lema na wengineo walipodai kuwa wamekamatwa, BBC katika mahojiano na Tundu walimuuliza hivyo hivyo, "Mbona hakuna wafuasi/wafurukutwa wenu barabarani kwa ajili yenu? Angalia leo watu wengi wameelekeza shamra shamra za mpira KIGOMA.
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Eti damu ya shujaa, shujaa gani, mtaje tukuumbue
 
Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.

Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.

Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?

Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.

Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.

My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Tujitambue na tutambue kuwa kuna watu wanaojitambua ambao hawawezi kuwa bulldozed kiulaini kama unavyofikiria wewe
 
Back
Top Bottom