Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Nilizaliwa Tanganyika. Wewe umesimuliwa nini?Unaifahamu historia ya Tanzania?
Amandla...
Nilizaliwa Tanganyika. Wewe umesimuliwa nini?Unaifahamu historia ya Tanzania?
Mbona hujui kama TANU ilipata sapoti kubwa?Nilizaliwa Tanganyika. Wewe umesimuliwa nini?
Amandla...
Kwa hiyo mbowe atakua mkuu wa serikali, huyu jamaa bado anahitaji ushauri nasaha aisee...
Bukoba ya ufipa auNaisi hampo bongo nyie amjaona watu walivyo kinukisha bukoba.
Unawaza kama nadharia ya jina ulikojipaKwa hiyo mbowe atakua mkuu wa serikali, huyu jamaa bado anahitaji ushauri nasaha aisee...
Labda atakua mkuu wa serikali ya wajela wa segerea...
Mbona Lissu wewe ulishindwa kwenye uchaguzi! Utakuwa lini mkuu wa serikali? Unaichokoza serikali ili upewe kesi, halafu uwe Gandhi!
Na nani hapo mwanzoni? Wangapi walijitokeza kuwapa hiyo sapatin hadharani? Wangapi waliandamana kumshurutisha mkoloni aondoke? Watu kama wakina Sykes, Phombeah, Mwakangale, Bibi Titi na vijana walikuwa wachache. Sapoti ilikuwa ya kujificha na ilikuja kuonekana baadae kwenye uchaguzi wa Legco.Mbona hujui kama TANU ilipata sapoti kubwa?
Na wakati uchaguzi ulikua huru na wahaki bila hata kura za bandia.Mbona Lissu wewe ulishindwa kwenye uchaguzi! Utakuwa lini mkuu wa serikali? Unaichokoza serikali ili upewe kesi, halafu uwe Gandhi!
Upinzani tunautaka sana, ila sio kama huu Upinzani wa kihuni
Ni upumbavu kuwa mpinzani hasa wa chama viongozi wake wanajihusisha na masuala ya kigaidi
Chadema ni chama kinachopendwa na BAADHI YA VIJANA WA VYUO VIKUU.....wako wangapi ?!!!Wanaopika vitumbua wako busy, machinga wapo busy, manesi na walimu wanajadili dakika moja na kuchapa shughuli zao.
Waliotiwa nguvuni wanajinasibu kuwa ni wapigania haki na wakombozi wa taifa hili dhidi ya udhalimu wa CCM.
Je ni kweli? Mbowe na Pambalu wamegeuka kuwa mashujaa wa kupigania haki za watanzania? Lwaitama? Nani mwingine?
Lissu ,kidogo ana historia kubwa na nzuri kupigania haki za watanzania, ila aliharibu kujoin CHADEMA, bora angeanzisha chama chake.
Kama kweli waliotiwa nguvuni wanakubalika kwa umma leo kingenuka hapa bongo.
My take; Damu ya shujaa aliyeipigania Tanzania na wanyonge itaitafuna Tanzania kama Damu ya Lumumba inavyoitafuna DRC.
Siasa zenu za ndotoni....Serikali ya kubambikizia raia wake kesi hiyo si serikali iliyotokana na wananchi wenyewe.
Tulia babu....CCM haiwezi kuikalia Tanzania ki mabavu.Siasa zenu za ndotoni....
Duniani serikali zote/nyingi...zinafanana....
ENDELEA KUJIOTESHA NDOTO