Sijamwelewa Waziri Mkuu ujue?

Sijamwelewa Waziri Mkuu ujue?

Kutaka kiki kila mahali.Sasa kwa mzungu amebugi!asidhanie hii ni ishu kama ya sukari kutishia wahindi halaf baadae akaufyata.Hawa ni wenye dunia,watamnyoosha!
we mmalawi unaandika kiswali fasaha hivi? hongera aisee
 
"Labda alijibu vile ili kukwepa "mchafuko" wa hewa na "mapovu" bungeni hadi wapate ripoti ya pili iwe kuwe na nguvu thabiti ya kusimamia maamuzi "yao"(technically ni yetu.)

Hivi PM anaweza kufuta kauli ya Raisi?

Status ipoje huko migodini na sehemu michanga ilikozuiliwa?
 
Sasa huku mtaani wadanganyika wanavyopiga makelele kama ndege kwenye shamba la mpunga..
Ukiwaambia jamaa kachemka wala hawakusikilizi kwa makelele yao..!!

Tatizo nchi hii watu wengi utumia robo tu ya akili zao....

[HASHTAG]#Akili[/HASHTAG] za [HASHTAG]#Mchanga[/HASHTAG]
Siku wakijafahamu kuwa tatizo letu ni wale wa kijani na njano waliopitisha hayo madudu kwa vifijo na nderemo, tutakuwa tushakufa kwa shida kali.
 
Hata waliopata uzalendo majuzijuzi nao baadaye watakuwa wapole tu. Ni suala la muda.
 
Ndugu yangu umesahau kuwa unaishi Tanzania hapa kila kitu kinawezekana
 
To be honest, ccm walibugi step big time kutuletea mtu kama huyu! Nikikumbuka slivyoonesha hamaki siku ile ripoti inasomwa yaani rais anakosa utulivu kabisa! Mzuka ulimpanda vibaya mpaka akajikuta anatukana! Huyu sio kabisa!
CHA AJABU wanafanya usanii kwenye mambo makubwa yanayogusa nchi,hivi siku ile kulikuwa na ulazima gani wa kuita sijui maaskofu?eti nao wakauliza maswali kwa UCHUNGU!ukumbi ukajaa watu wa kada mbalimbali,wasanii nao wakatumbuiza!kweli kulikuwa na ulazima huo?
 
Na hili ndilo tatizo nimeliona mkuu! Unashirikisha wadau kupata ushauri baada ya kuleta damage kubwa kwa sababu tu ya kutafuta kiki?
NIA NJEMA BILA MIPANGO MAKINI! TULIKOPASWA KUMALIZIA NDIYO TUMEANZIA HALAFU WANAONA TUKO SAWA TUI.
 
CHA AJABU wanafanya usanii kwenye mambo makubwa yanayogusa nchi,hivi siku ile kulikuwa na ulazima gani wa kuita sijui maaskofu?eti nao wakauliza maswali kwa UCHUNGU!ukumbi ukajaa watu wa kada mbalimbali,wasanii nao wakatumbuiza!kweli kulikuwa na ulazima huo?
SJamaa alidai anafanya jambo la kihistoria! Anataka Tanzania nzima ishuhudie! Kumbe mashudu tupu!
 
Sasa huku mtaani wadanganyika wanavyopiga makelele kama ndege kwenye shamba la mpunga..
Ukiwaambia jamaa kachemka wala hawakusikilizi kwa makelele yao..!!

Tatizo nchi hii watu wengi utumia robo tu ya akili zao....

[HASHTAG]#Akili[/HASHTAG] za [HASHTAG]#Mchanga[/HASHTAG]
Omuga . . ,

CCM inajua viwango vya akili vya wapiga kura wake . . , na wanachama wake
Ndio maana viongozi wa ccm wanaongea tuu bila kupima uzito wa maneno yao .

Wenye akili huko ccm ni wachache sana . . , ila sasa ni wezi haoooo . . , loooh . . !
 
kama nilivyowaambia miaka hii mitano itakwisha kwa ksikia nakuona mambo mengi ya ajabu hasa kutoka kwa watu tuliokuwa tunawategemea kutuletea maendeleo, la msingi ni kuweka kumbukumbu ili 2020 tusirudie makosa ya kushabikia
 
Tatizo letu huwa tunajenga mitazamo kwa kuanza na false premise already kunakuwa na psychological distortion on the deductive logic to what may follow. Ndio kama hapa ata unapoambiwa actual facts utaki kwa sababu tayari ushajenga mtazamo wako wa tukio zima.
 
Ha ha walidhani ni mchezo wanakurupuka tu hawana vision wala nini wataendelea kucheza cheza kama viwavi wamelikoroga walinywe
 
CHA AJABU wanafanya usanii kwenye mambo makubwa yanayogusa nchi,hivi siku ile kulikuwa na ulazima gani wa kuita sijui maaskofu?eti nao wakauliza maswali kwa UCHUNGU!ukumbi ukajaa watu wa kada mbalimbali,wasanii nao wakatumbuiza!kweli kulikuwa na ulazima huo?

Wasanii awajielewi soon yatawakuta ya bongo movie suala la mda tu tutaanza kusikiliza ngoma za majuu
 
Back
Top Bottom