Kweli CDM ni chama cha wachaga! Hivi kweli EL ni Mchaga? Tena kutoka Monduli duli!
mkuu! Kwahiyo unataka kutuaminisha na sisi madereva wenye itikadi tofauti kama nilivyo mimi ni chadema. Kwahiyo ule mkutano ulikua haunihusu,pia unataka kuniaminisha waliokuwepo kwenye eneohusika walikua ni wanachama wa ccm.
Mstokwe povu, kwan anachofanya slaa huko igunga sio kampeni zile?
We ulienda fanya nini uko? Yupo sahihi tu kuvaa iyo kofia
nilikwenda kama dereva boda boda mkoa wa ilala.
Kwaiyo unataka kusema lile tamasha likuwa la wanachama wa ccm?
Hao waliomualika hawakujua kama yeye ni CCM? Ulitaka awe neutral kwani yeye ni kiongozi wa serikali?
Kwa nini mlimualika yeye na sio mtu mwingine???!!!
nasikia kumbe yeye ndiye aliye yaratibu,ila aliwatumia watu flani ambao ni viongozi wetu ili asijulikane kama ndiye aliye aliyaratibu.
Mkome kualika watu maarufu bila ya kuwa na uwezo wa kujadili mnachokitaka kabla ya kuja hapo!!!!!
Kama EL atafanikiwa kuiongoza nchi hii(hakika haitawezekana kuwa)itakuwa ni bora nitafute uraia wa Somalia Alshaabab ni afadhali kuliko fisadi huyu.Mungu yu mwema sana atamtia upofu tu!
binafsi sikufahamu kama ulikua ni mkutano wa waendesha bodaboda wapenzi na wanachama wa ccm.
huwezi kumwelewa kwa sababu wewe upo bavicha.
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
nasikia ccm wanaareji na wachaga..! Vp kuhusu lowasa?
Muulize edward lowasa kwa nini aliamua kuvaa vile. Atakupa majibu.