Sijamuelewa Edward Lowassa

Sijamuelewa Edward Lowassa

Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

Lowassa ndiyo mgombea wa ccm 2015, hivi hapo ccm wapo kwenye kampeni tayari.
 
Lamri gan bana sema jamaa amejiandaa kifedha.........ingekua lamri kila mtu angeenga tena Zito na January makamba wangekua wa kwanza.
 
Lamri gan bana sema jamaa amejiandaa kifedha.........ingekua lamri kila mtu angeenga tene Zito na January makamba wangekua wakwanza.

taratibu mkuu. Kwani yule mtaalamu wa nigeria alimwambiaje vile? Kwa yule jamaa alipo kwenda kipindi kile anaumwa.
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

utamwelewa tu itakapofika mwaka 2015,lakini kumbuka kuwa yeye ni mwanachama wa ccm na pia ni mbunge kupitia ccm,kuvaa kufia tu kunawakilisha chama chake kilichomfanya awe hapo alipo,yawezekana wakati wanamwalika hakukuwa na katazo la uvaaji wa sare za chama,kwa kuwa hajavunja sheria na watu waliokuwepo eneo husika kumkubali hadi kumwita rais ina maana walikubaliana na kila kitu alichokuwa nacho ktk eneo la tukio
 
Kabila langu Nyerere mi nsha toka zaman kwenye ukabila.....sasa wewe sijui umetoka Rwanda,Kenya au South Sudan pole sana kwa ukabila, cha msingi fanya kazi kwa bidii na kama unasoma basi soma kwa bidii.
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

sasa utamuelewaje wakati we mwenyewe shule hakuna,dj wenu mbowe mwenyewe shule hakunaga
 
Mh. Lowasa amealikwa kama mgeni rasmi, Kwa kawaida wageni rasmi huwa ni wa2 maarufu kwa nafasi mbali2 walizonazo na Lowasa ni mwana SIASA na alialikwa kwa umaarufu huo hivyo basi hana budi kuonyesha kile ambacho ndicho kinacho mfanya atambulike na aweze hata kualikwa pale,
 
sasa utamuelewaje wakati we mwenyewe shule hakuna,dj wenu mbowe mwenyewe shule hakunaga

Shuleni watu huelemika wakati akili watu huzaliwa nazo. Chamani anaambiwa ana gamba walijaribu kumvua likang'ang'ania. Kama hufahamu muulize Nape. Sasa alitumia elimu au akili?
 
utamwelewa tu itakapofika mwaka 2015,lakini kumbuka kuwa yeye ni mwanachama wa ccm na pia ni mbunge kupitia ccm,kuvaa kufia tu kunawakilisha chama chake kilichomfanya awe hapo alipo,yawezekana wakati wanamwalika hakukuwa na katazo la uvaaji wa sare za chama,kwa kuwa hajavunja sheria na watu waliokuwepo eneo husika kumkubali hadi kumwita rais ina maana walikubaliana na kila kitu alichokuwa nacho ktk eneo la tukio

mkuu! Kwahiyo unataka kutuaminisha na sisi madereva wenye itikadi tofauti kama nilivyo mimi ni chadema. Kwahiyo ule mkutano ulikua haunihusu,pia unataka kuniaminisha waliokuwepo kwenye eneohusika walikua ni wanachama wa ccm.
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

Hao waliomualika hawakujua kama yeye ni CCM? Ulitaka awe neutral kwani yeye ni kiongozi wa serikali?
 
Utamuelewa tu kwenye uchaguzi mkuu.
Mwambie asigombee, uchaguzi ujao midahalo itakuwa minne kama marekani. Watanzania hatutaki kurudia makosa si unaona hawa tuliowapa nchi bila kuwakutanisha kwn midahalo jinsi wanavyochemsha?
 
Mh. Lowasa amealikwa kama mgeni rasmi, Kwa kawaida wageni rasmi huwa ni wa2 maarufu kwa nafasi mbali2 walizonazo na Lowasa ni mwana SIASA na alialikwa kwa umaarufu huo hivyo basi hana budi kuonyesha kile ambacho ndicho kinacho mfanya atambulike na aweze hata kualikwa pale,

mkuu kwahiyo unataka kuniambia edward aliwakilisha chama kwenye tamasha linalowakutanisha watu wenye itikadi mbali?..!
Kama ndivyo ivyo mratibu wa tamasha lile hakuwatendea haki madereva wenye itikadi za cuf,chadema,nccr,tlp n.k ambao waliamua kukwenda kujumuika na wenzao,kwa malengo ya kuelimishana na kubadilisha mawazo. Mkuu au ulikua unamaanisha nini kusema aya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom