Sijamuelewa Edward Lowassa

Sijamuelewa Edward Lowassa

hata mimi sijamuelewa si bora angevaa "helment"

kunakitu alikuwa anamaanisha. Ila amejiaribia,nahisi angesema nitamasha litakalo beba sura ya uccm nahisi watu wasinge kuwa wengi.
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

KASHFA YA RICHMOND IMEMTAFUNA SANA MZEE WA WATU , hadi MAMBO YA KITAIFA ANAYAVALIA SARE ZA CCM .
 
vijana wa mjini wametambua kwamba LOWASA anamwaga mahela , kwa hiyo walikuja kuzitafuna halafu WAMTELEKEZE ! hakuna atakayehangaika na fisadi aliyethibitishwa na bunge .
 
tatizo lenu nyinyi watoto kwanzia miaka ya 80 mnamatatizo sana.
Ila kwa kukusaidia nataka kukujibu lenye tafakari pana,ila usiwe mvivu.
Unamjua baba yake edward?pia unajua alikua anatoka wapi? Je,unamjua kama alikwisha wai kuwa dc na pia unajua kama baba yake alikwisha wai kuwa waziri wa utali na mali asili?
Siku nyingine usipende kushabikia kitu usichokifahamu.

ila aise we ni noma!!!kwa kamba nimekunyoshea mikono juu,
 
Kila jambo wanataka kuingiza siasa ili wapate wafuasi wengi wa kuwasapoti.

mkuu ninauwakika,laiti kama mh. Lugwe na lowasa wange sema ni tamasha linalowahusu wanachama wa ccm,sidhani kama wangeweza kuwa wengi kama vile.
 

Attachments

  • A%20S%20thumbs_up.gif
    A%20S%20thumbs_up.gif
    1.1 KB · Views: 229
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
Bwana mdogo ni jukumu la waandaa kongamano kuchagua mgeni rasmi........hata hivyo lowassa ni Kiongozi mahuhuri na mwenye ushawishi mkubwa ndani na nje ya nchi.........CCM ina viongozi wengi na wana majukumu tofauti.......,najuwa angekuwa chadomo angelaumiwa ni mbinafsi,msaliti na mhaini.
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

Inategemea alienda kukutana nao akiwa amevaa kofia gani, kwa maana ya authority. Kama alienda kukutana nao akiwa kama Mbunge mkereketwa wa CCM, alikuwa ana haki ya kuvaa hata FULLsuit ya CCM, achilia mbali kofia peke yake!
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

tayarisha lako uvae kofia ya taifa kama zitto

acha ujinga, yule ni lowassa na wewe ni nobody ndio maana hauoni unachowaza wala kufanya

tatizo ni nini??? acheni ujinga

unaendesha bodaboda?? kulikuwa na TOR ya kumwamboa asikitangaze CCM??

hivi watanzania huwa wanawaza nini hasa??
 
CCM na midahalo usitegemee hua wana kimbia halaf wanashinda kwasababu moja tu,wenyewe ndo waneshikilia dola (wataiba kura).
 
nchi ya wapumbavu, jamaa anawekeza kwenye vichwa vya wapumbavu katika nchi ya kipumbavu na atarejesha kile anachowekeza atakapofika pale magogoni kupitia wapumbavu. inuka ukimbie.

Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
 
Inategemea alienda kukutana nao akiwa amevaa kofia gani, kwa maana ya authority. Kama alienda kukutana nao akiwa kama Mbunge mkereketwa wa CCM, alikuwa ana haki ya kuvaa hata FULLsuit ya CCM, achilia mbali kofia peke yake!

ameva kofia ya ccm.wewe unapata picha gani?Binafsi ningemuona wa maana endapo angevalia ile suit yake aliyoiva kwani inaonyesha shughuri iliyopo pale ilikua inasura ya kitaifa(suit yenye rangu za bendera ya taifa).
 
tayarisha lako uvae kofia ya taifa kama zitto

acha ujinga, yule ni lowassa na wewe ni nobody ndio maana hauoni unachowaza wala kufanya

tatizo ni nini??? acheni ujinga

unaendesha bodaboda?? kulikuwa na TOR ya kumwamboa asikitangaze CCM??

hivi watanzania huwa wanawaza nini hasa??

hahahaaaaaaaaaaaa.....! you have know nothing....! ni khery kunyamaza
:der:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom