Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 998
- 736
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
More update...
nasikia na mh. January anafungua tamasha la waendesha bodaboda kama lowasa alivyo fanya dar. Pia hujumbe na maudhi ni yale yale.
Alafu waalikwa ni walewale maswaiba. Alafu wote wamejinasibu wanataka kugombea urais.
Wenye kuunganisha doti kazi ni kwenu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.
More update...
nasikia na mh. January anafungua tamasha la waendesha bodaboda kama lowasa alivyo fanya dar. Pia hujumbe na maudhi ni yale yale.
Alafu waalikwa ni walewale maswaiba. Alafu wote wamejinasibu wanataka kugombea urais.
Wenye kuunganisha doti kazi ni kwenu.