Sijamuelewa Edward Lowassa

Sijamuelewa Edward Lowassa

Kwako wewe mbumbumbu ni jambo la kawaida. Kwa werevu kama mimi na wengineo hapo kuna walakini. Kama vipi chukua hata kofia ya Jwtz, wakati wewe hata likuruta hukupitia.Then katiza nayo mitaa ya Lugalo ama kwingineko palipo na "watoto" wa Mwamunyange. Hapo ndipo utajua kuwa kuvaa kofia kiholela ni sawa ama laa kenge wewe!

mkuu kwao wanaona sawa kiti moto kuliwa msikitini.
 
Hakuna ubaya wowote mtu kuonyesha msimamo wake wa kisiasa

kama ndivyo ivyo basi tuwambie walimu,majaji,mawaziri,wafanyakazi,na wengineo kwa wingi wao. Wawe wanaonyesha hisia zao za kichama katika sehemu zao. Je, unavyoona nchi itatawalika?
 
Nyerere ndo nani?hebu tupisheni hapa kwanza nyererr na uozo wake ndo kaifikisha hii nchi ilipo

Baba Gaude,Nyerere ni baba wa Taifa.aliaacha nchi ikiwa na hali nzuri sana angalia statisitics za uchumi kwa miaka yake aliyokuwa madarakani.
Nikukumbushe mtu haingii Ikulu kwa kugawa fedha makanisani na misikitini,usiwe maskini wa fikra.Ikulu ni mahala patakatifu.Kuna watu wengi ambao wakiombwa wagombe wanaweza kutufukisha kwe hali bora lakini hatujafikirisha vichwa na tumelemazwa na hao wanao pitapita na vijisenti vyao wakitaka kuingia ikulu.Njaa zako za leo zitakugharimu maisha yako,watoto wako na hata wajukuu.Mabadiliko haya kwepeki.
 
Nyerere ndo nani?hebu tupisheni hapa kwanza nyererr na uozo wake ndo kaifikisha hii nchi ilipo

usiwe mvivu wa kushirikisha ubongo.
Kwanza kabisa tambua kikwete mwenyewe amepewa heshma kubwa kule south. Kutokana na juhudi kubwa alizozifanya baba wa taifa mwl. Nyerere.
Kwaiyo unavyotoa maneno yako ya kashfa kwa kiongozi mkubwa kama nyerere jitahidi kuwa mwangalifu sana. Kwani nahisi unawakosea adamu wale wote waliokulia kwenye mikono ya mwl. Pia unamkose heshma mama nyerere pamoja na familia ya nyerere kwa ujumla.
 
kwani shehe akialikwa kanisani haruusiwi kuvaa kanzu na kibarakashia

We boya nini.aliyekwambia kanzu na baragashia ni kwa mashehe na si makanisani nani? Acha kuishi kwa mazoea. Tuambie wapi ktk bible inasema kanzu na baragashia ni haramu kwa mkristo kisa zinavaliwa sana na Waislamu.
 
Baba Gaude,Nyerere ni baba wa Taifa.aliaacha nchi ikiwa na hali nzuri sana angalia statisitics za uchumi kwa miaka yake aliyokuwa madarakani.
Nikukumbushe mtu haingii Ikulu kwa kugawa fedha makanisani na misikitini,usiwe maskini wa fikra.Ikulu ni mahala patakatifu.Kuna watu wengi ambao wakiombwa wagombe wanaweza kutufukisha kwe hali bora lakini hatujafikirisha vichwa na tumelemazwa na hao wanao pitapita na vijisenti vyao wakitaka kuingia ikulu.Njaa zako za leo zitakugharimu maisha yako,watoto wako na hata wajukuu.Mabadiliko haya kwepeki.

ni kweli kabisa mkuu. Baba wataifa alitufanya kuwa wamoja,tofauti na sasa. Viongozi wanatugawanya kwa misingi ya kidini,kikanda nk.
Je,kwa uwezo aliokua nao mwl. Kuna rais gani aliye mfikia kati ya kikwete mwinyi na mkapa?
 
Wanajamvi nawasalimu.
Dhumuni langu nikuwaomba mnifafanulie utata ninao upata. Kiukweli sijaelewa kwanini lowasa avae kofia ya chama kwenye tamasha la ufunguzi wa waendesha bodaboda!
Kwanza binafsi natambua lile tamasha si la kisiasa. Nitamasha lenye kuwakutanisha watu wenye itikadi ya vyama tofautitofauti.
Au laa itambulike lowasa amefungua tamasha la waendesha bodaboda ambao ni wanachama wa ccm.
Nawasilisha.

Kwanza jiulize amefungua tamasha kama nani?ukipata jibu zuri nadhan na hilo la kofia ya chama litakuwa limejibika.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
kama ndivyo ivyo basi tuwambie walimu,majaji,mawaziri,wafanyakazi,na wengineo kwa wingi wao. Wawe wanaonyesha hisia zao za kichama katika sehemu zao. Je, unavyoona nchi itatawalika?

Kuna utaratibu ambao umetengenezwa mojawapo ni sehemu za kazi mambo ya kisiasa hayaruhusiwi...hili la kwako halipo ndani ya huu utaratibu
 
Kuna utaratibu ambao umetengenezwa mojawapo ni sehemu za kazi mambo ya kisiasa hayaruhusiwi...hili la kwako halipo ndani ya huu utaratibu

nasikia na mh. January anafungua tamasha la waendesha bodaboda kama lowasa alivyo fanya dar. Pia hujumbe na maudhi ni yale yale.
Alafu waalikwa ni walewale maswaiba. Alafu wote wamejinasibu wanataka kugombea urais.
Wenye kuunganisha doti kazi ni kwenu.
 
nasikia na mh. January anafungua tamasha la waendesha bodaboda kama lowasa alivyo fanya dar. Pia hujumbe na maudhi ni yale yale.
Alafu waalikwa ni walewale maswaiba. Alafu wote wamejinasibu wanataka kugombea urais.
Wenye kuunganisha doti kazi ni kwenu.

Mwenzenu naiona CCM vipande vipande ikija, sijui Zitto atahamia wapi maana 2015 June sisiemu itakua kama dekio jinsi itakavyochakaa kwa hizi pande za uraisi. Lowasa,Sitta,Membe,January,Migiro,MAgufuli,WAZANZIBARI nk.....eeh mungu nipe uhai nione hii picha. Aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Jamaa anapenda sana RAHA......

12.jpg

Mbona jamaa kachoka choka, atafikka kweli???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom