Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huyo nkeo ntarajiwa anakufaa sana maana ni nkweli na mwenye uwazi. Hana ufinyu wa kufikiri na anatoa ndogondogo kwa ampendaye, ntu kama wewe. Anataka bwanake awe na ubunifu katika maisha. Sio kuongea tu halafu nchumali chwiiii! kila chiku tu. Anataka nchumali wako lakini badilia kimtazamo au chivyo njomba itakula kwako bhaaaaaa!
 
Mkuu unadhani kibuti huwa wanakuja na matarumbeta!? inakuwaga hivyohivyo.
 
Its clear huyo demu anapenda kugegedana n ww haumpgi game..dats why anasem haupo active like others n ww.unatak story tu yey anatak action bro...anaogopa.kuongia kwa.ndoa cz hato enjoy game coz haupo active..so brodah hebu jipange one day vizuri mshtukize kwa game zito kaka...hadi ashangae kuwa u rnt da same man she knew...
 
Mh!! Hapo hapo the future is totally blured... Jifariji na Gabrielle
 

Attachments

  • 1390762779839.jpg
    1390762779839.jpg
    38.4 KB · Views: 145
huyo mwanamke kashachoka anatafuta sababu au kapata wakumpa hela nyingi
 
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy

Dah mkuu inaonekana demu wako kapata mwekezaji mwingine kwa hiyo usione shida kama mkatabo wako umesitishwa kaweze kwingine ambapo bado kuna fursa, ni hayo tu mkuu
 
Mtu ambaye keshaamua kupiga chini hana muda wa kuandika mashairi marefu marefu.....majibu yake huwa ni ya mkato mkato.....Huyu anatafuata mediation.

Ahsante sana The Boss kwa busara zako...


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
neno KUOANA kwa kiswahili safi maana yake ni KUENDANA au KUFANANA,kiasi kwamba hata mkikaa pamoja maisha yatakuwa matamu,sasa nyinyi hamfanani wala hamuendani,mna tofauti kubwa hivyo hakuna KUOANA hapo
 
ooooi bob,mfalme The Boss kashamaliza chezo,mjibu hivyo hivyo bila kutia nakshi lazima asande mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hakuna maisha na huyu mwanamke. Chapa lapa kabla hamjatoana roho kama kina Mushi na Munisi.
 
Its clear huyo demu anapenda kugegedana n ww haumpgi game..dats why anasem haupo active like others n ww.unatak story tu yey anatak action bro...anaogopa.kuongia kwa.ndoa cz hato enjoy game coz haupo active..so brodah hebu jipange one day vizuri mshtukize kwa game zito kaka...hadi ashangae kuwa u rnt da same man she knew...

yaani wewe akili yako imekaa kingonongono inawaza ngono tuuuuu mpaka neno active wewe umetafsiri kungonoka!kweli watu tunatofautiana
 
Hee hii stori imeangalia upande mmoja tu ambao ni wako mkuu,hebu na mdada na yeye aje atiririke humu il niweze kuwashaur.!maana yeh cyo mwehu mpaka akuandkie hyo essay hapo juu haha,utakua una makwazo sana myb!.
 
inauma sana....wakaichomoa na mimba..!!
Afu na mikosi kama inaanza kukukumba.. Katoe mapepo hayo haraka.,
wale ndg zetu sio.
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

Majibu mazuri kwa wakati mzuri
 
Back
Top Bottom