Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

MSATULAMBALI

Senior Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
187
Reaction score
55
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi "maisha kwako bado sana na wewe mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lakini sijui maisha yangu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukuri na hata sijazaaa maana sijui kama tungekula. Kazi unayowazi tukae tuongee kila siku tunaonge lakani hata kimoja yamebaka maneno tu ndio maana nimepumzika maan naona tunazinguana tu, Hata amu ya harusi sina maaaaaa, nikiolewa ndio bas hivyo"

BACK TO THE REAL STORY

Huyu demu nilimpora jamaa flani alikua yupo airtel morroco pale na demu nilimkamata wakati anaanza first year UDSM nimefanya nae mambo mengi sana na kiukweli ananipenda sana, tatizo kwao Lindi me mkristu sitakiwi na yeye ni muislamu pure, kunizuia mimi wamemtafuta ustaadhi amuoe demu, kagoma, na wale wazazi hawanitaki, bi mkubwa angu kaenda wamemwambia hata tuende na milion mia binti yao haolewi na kafiri, binti karudi nikaamtia mimba, kaenda kwao likizo ya xmass na mwaka mpya wakajua wameichomoa, nikakasirika sana mimba imeanza miezi mitano imechomolewa?? Basi nikamchukia na mwanamke lolote asemalo me napuuza, janualy hii gari yangu imepata ajali nna kesi police wanataka hela na yeye anataka hela sijampa ugomvi unaendelea naishi niwezavyo now, I don't care, leo ndo kanitext hivyo, na muda huu kanitext #. Wewe unafikiri kwa miak yote kirahisi tu tunaachn.aaàaaaa sahau, to me I'm done with her.
 
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

Najuuta kukufahamu. Khah!!!!!
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

Duuuh ndo maana nakuogopa unaweza kunishawishi hvhv mchana kweupe
 
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu ukiona manyoya ujue keshaliwa huyo. Dawa ni kuchapa mwendo ukizubaa na wewe utaliwa.
 
kimbia fasta..hata nyuma usiangalie
running3.gif
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..
Dah umeua babaake!!!
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

mmmh....haya bana!
 
Huyo mtu wako inaonekana amekata tamaa!inaonekana mmeshaongekea sana matatizo yenu lakini hayajapata suluhisho...jaribu kumpa matumaini awe na subira na kama kuna vitu unavifanya havimfurahishi jirekebishe...Kila la kheri mkuu!
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..
Tatizo busara zikizidi sana kwa hawa viumbe ni kwamba unajitengenezea majanga ya kuendelea kupewa za uso
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

Hilo jibu mpk nimesisimka,kiukweli nimependa.
 
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mmhhh sound like kids relationship..
 
Mmwage kabla hajakuwahi
Teh teh teh
Keshachelewa huyo, kilichobaki hapo ni kuugulia maumivu tu; mara leo ya kichwa, kesho mafua ili mradi taabu kwa kwenda mbele! Kwa wataalamu wa haya mambo, unachofanya, unatafuta udhaifu wake kisha unaitumia huo udhaifu wake kumrudisha kundini. Akirudi tu, unamuelekeza kibra; kisha unamwaga jumla! maumivu unamwachia yeye, au mna-share fifty fifty! Kuachwa inauma, asikuambie mtu ingawaje kuna wengine kuachwa kwao ni kawaida kv hawajui kusoma alama za nyakati!
 
Back
Top Bottom