Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

kimbia fasta..hata nyuma usiangalie
running3.gif

ndo kishaishia hapo sasa...
 
Karibu kwenye club mpya ya makapera....jezzy number 1 a.k.a golikipa!
 
Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

I salute you....igweeeeeeee
 
Ila demu mvumilivu, miaka tatu ndio kaamua kubwaga manyanga.
Ila na wewe tuelezee anaposema maisha bado anamaanisha nini? Wewe unamiliki nini ? Na kiuchumi uko njema?
 
shosti kampata muuza sembe; kaona achape lapa
 
kuna jamaa kamnunulia nyumba na anataka wiki ijayo ampeleke showroom akamnunulie gari sasa wewe jikubali tu kua huna chako sepa
 
anaonesha anapenda maendeleo ndo jambo jema
 
Huwajui wanawake wewe! Huyo ameshakupiga chini,wanawake bana ni noma,kampata ---- anayempa vijicent vingi kuliko ww,c hivyo tu pengine huyo ---- kunako 6 by 6 anamkandamiza ipasavyo kiasi cha kukuona we mbwiga tu!
 
Ungemla 0652... Hiyo ndio security yetu tukiachwa wanaume. cc Money Stunna
 
..eti "mbona men wengine wako active" dah yaani ndo yuleyule alokuwa anakuita honey kasema hivi?..kaka umeanza mwaka kwa NEEMA..
 
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Una umri gani??
 
matumain yapo, japo mgonjwa anapumulia mpira, jitahidi uongeze ushawishi zaid kumwonyesha kua mmekaribia nchi ya ahadi. mwonyeshe mikakati ya matokeo makubwa sasa 2014 *big result now*
 
Back
Top Bottom