ndetichia
Platinum Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,589
kimbia fasta..hata nyuma usiangalie
![]()
ndo kishaishia hapo sasa...
kimbia fasta..hata nyuma usiangalie
![]()
Moment of silence please! For a dead relationship!🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Mjibu hivi
'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..
Najuuta kukufahamu. Khah!!!!!
mmhhh sound like kids relationship..
Mmwage kabla hajakuwahi
Teh teh teh
Heeh heh heMoment of silence please! For a dead relationship!🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums