Nimedumu na mpenzi wangu miaka mitatu jioni hii kani text hivi # maisha kwako bado sana na ww mwenyewe hujiongezi upo tu hapo. Ndio nakubali kuolewa na wewe lkn cjui maisha yngu yatakueje? Mbona men wengine wapo active, nashukur n ht cjazaaa maan cjui km tungekula.kaz unayowaz tukae tuongee kila siku tunaonge lkn hat kimoj yamebak maneno tu ndio maan nimepumzika maan naona tunazinguan tu.....Hata amu y harus sina maaaaa................🙂 nikiolewa ndio bas hvy
#########BACK TO THE REAL STORY
Huyu demu nilimpora jamaa flani alikua yupo airtel morroco pale na dem nilimkamata wakati anaanza first year UDSM nimefanya nae mambo mengi sana na kiukweli ananipenda sana, tatizo kwao lindi me mkristu sitakiwi na yeye ni muislamu pure, kunizuia mm wamemtafuta ustaadhi amuoe dem, kagoma, na wale wazazi hawanitaki, bi mkubwa angu kaenda wamemwambia hata tuende na milion mia binti yao haolewi na kafiri, binti karudi nikaamtia mimba, kaenda kwao likizo ya xmass na mwaka mpya wakajua wameichomoa, nikakasirika sana mimba imeanza miezi mitano imechomolewa?? Basi nikamchukia na mwanamke lolote asemalo me napuuza, janualy hii gari yangu imepata ajali nna kesi police wanataka hela na yeye anataka hela sijampa ugomvi unaendelea naishi niwezavyo now, I don't care, leo ndo kanitext hivyo......na muda huu kanitext #. Ww unafikir kw miak yote kirahis tu tunaachn.aaàaaaa sahau......to me I'm done with her