Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Sijajua hii SMS inamaaniisha kibuti au warning, msaada please

Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..

Shikamoo The Boss nimekumiss
 
Last edited by a moderator:
kimbia fasta..hata nyuma usiangalie
running3.gif
Ha ha ha haaah!! Hii nimeipenda.
 
Mtu ambaye keshaamua kupiga chini hana muda wa kuandika mashairi marefu marefu.....majibu yake huwa ni ya mkato mkato.....Huyu anatafuata mediation.

Ahsante sana The Boss kwa busara zako...


Babu DC!!

Naam babu hata mimi nilifikiri hivyo hivyo baada ya kusoma between the lines. Anayekuacha siriazly haji na mistari hiyo.

Senkyu for the lecture babu.


PM Moderator, Mentor.
 
Last edited by a moderator:
hapana kwa kuzingatia ushauri aliopewa kidolegumba alipouliza aanze na kununua gari au kujenga nyumba
mi nimejenga nyumba
mimi ninaye mtu tena nilikutana nae mitaa flani humuhumu jf bana
 
mimi ninaye mtu tena nilikutana nae mitaa flani humuhumu jf bana
huwezi jua anakupenda kwa kiasi gani? nakuomba unikubalie
utakaponikubalia mi sitafanya kitu chochote kitakacho kuudhi au kukufanya uachane na huyo uliye nae na hapo baadae unaweza kunilinganisha mimi na huyo jamaa uliye nae. njoo tupeane raha bby
 
Naam babu hata mimi nilifikiri hivyo hivyo baada ya kusoma between the lines. Anayekuacha siriazly haji na mistari hiyo.

Senkyu for the lecture babu.


PM Moderator, Mentor.

Nani kakupa cheo cha kuchungulia PM za watu??

Naona hujitakii mema wewe mdogo wangu Mentor

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Umepotea sana.... Heri ya mwaka mpya japo leo ni tarehe 27 jan



Mjibu hivi

'Naelewa your concern,na mimi pia sifurahishwi na hali hii
nataka nikuoe ili kwa pamoja tusaidiane kutatua hali hii
pale ntakaposhindwa kujiongeza wewe utanisaidia hata kwa ushauri
nitajitahidi uwe the happiest woman utakapokuwa mke wangu..
bado naona ukiwa na mimi utakuwa na furaha zaidi kuliko ukiwa na mwingine
ingawa kwa sasa hali haikufurahishi..
 
ndo hivo mkuu,kuna watu leo wapo hivi,after a year unaweza wasahau kwa big achievements zao...

ya kweli hayo na tunayaona,mungu wetu sio mbaguzi,hatupaswi kuwadharau watu bali tuwathamini kwa utu wao
 
neno KUOANA kwa kiswahili safi maana yake ni KUENDANA au KUFANANA,kiasi kwamba hata mkikaa pamoja maisha yatakuwa matamu,sasa nyinyi hamfanani wala hamuendani,mna tofauti kubwa hivyo hakuna KUOANA hapo

Nakubaliana na wewe may be 90%, love doesnt ask why or where you come from or who you know and if two people love each other mapenzi ya dhati kabisa and kila mmoja wao is determined to make it work then where you come from or where you belong doesnt matter.

Lakini kufanana makes it easier sometimes ( kuna wengi waliofanana lakini hakuna zuri au jema kutoka kwao)
 
Huyo ajakuacha kaka. Kama bado wampenda we endelea nae tu.
 
Back
Top Bottom