Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,054
- 4,114
Sasa hii inahusiana vipi nakuamua kufuta namba migahawa mingi chakula kinatofautianaYani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Mfano mimi nipo mkoani huku huwa napenda kula wali samaki sasa kuna nilitembelea mikoa ya pwani nikakuta wenyeji wanakula wali samaki walinikaribisha nilikataa sababu nilikuwa nimeshakul pia nilikuwa nimeshazoea kula hicho chakula hivyo sikuona utofauti baadae waliniambia wanajisikia vibaya ikabidi nijilazimishe hivyo kuwalizisha nilivyoonja kijiko cha kwanza nilihisi utofauti wa chakula kile kilikuwa kitamu sana tofauti na mkoa naotoka nilikula mpaka nilimaliza chote
.


, akati baba yake toroli tu lime mshinda