Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Sasa hii inahusiana vipi nakuamua kufuta namba migahawa mingi chakula kinatofautiana

Mfano mimi nipo mkoani huku huwa napenda kula wali samaki sasa kuna nilitembelea mikoa ya pwani nikakuta wenyeji wanakula wali samaki walinikaribisha nilikataa sababu nilikuwa nimeshakul pia nilikuwa nimeshazoea kula hicho chakula hivyo sikuona utofauti baadae waliniambia wanajisikia vibaya ikabidi nijilazimishe hivyo kuwalizisha nilivyoonja kijiko cha kwanza nilihisi utofauti wa chakula kile kilikuwa kitamu sana tofauti na mkoa naotoka nilikula mpaka nilimaliza chote
 
Ulete sasa sio siasa nyiingi
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
 
Mtoa mada alitakiwa kujisitiri na kumsitiri jamaa Yake, wote wamekutana Ni njaa Kali afu waigizaji. Tatizo nnaloliona, mmoja wao kamzidi maigizo mwenzie
Simtetei mwanamke ila Mwanaume kakosa ustaarabu unajua kuna watu hata huku mtaani usije ukawakaribisha atahakikisha anaenda na wewe sambamba mpaka sahani inakua nyeupe
 
Kwahyo Avatar hapo hustahili kuliwa chakula chako...
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
nimekualika, umeagiza ukipendacho, ukafakamia na wine juu, Lakini bado unalalamika?

sasa unataka upewe nin tena asee,
yaani badala ya kunishukuru kwa hicho kidogo kijana wa watu nimejibinya , unalalamika, unaumia na unazira kabisa?

hujui kwamba hiyo ni investment unatakiwa kuiheshimu? Itakusaidia ipo siku usiyoijua na utanikumbuka nakwambia tena , dunia tunapita tu.....

Sijapenda ulivyokuja kunianika na kunitangaza humu jukwaani, si ungeniambia tu papepale.
Yaani umeniblock bila sababu nakupigia na namba nyingine unajifanya hupokei, Asante nashukuru kwa yote ila ujue nimeumia.
 
Huyo alikosea sana, ilitakiwa baada ya kushiba Saa ya kulipa alipie maji amwambie mhudumu kila mtu analipa bili yake nipo na super woman na asibadili msimamo.

Tena Ndio ingependeza na ningempa na hela ya mafuta na next time mm Ndio ningemtoa out na kumhudumia vizuri na ikiwezekana kumuweka ndani tu
 
Kabisa asee yani mpaka saiv bado hajielewi kuwa ulikuwa mtego na amenasa! Ila tunaweza mpa lawama bure mtoa mada kumbe ni kibinti kidogo ndo kinachipukia bado hajajua maisha ni nini

maisha ni kuishi kwenye uhalisia na sio kufake ww kama unaweza kuafford sehemu fulani kuwa muwazi
Wanaume acheni hizi tabia
 
Ungemuonyesha jeuri kwa kuagiza chakula kingine, na ungeclear bills zote na ungetoa tip kwa mhudumu then ndo ungefuta namba yake na kumpotezea.
Ingemuuma hiyo mpk mwisho wa uhai wake.
Tatizo na wewe tegemezi
Kama pesa ya bills hana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom