Nimefuta his number.....

Uyo binti nae njaa Kali,Umenichekesha,ila na wewe una kauchoyo Kwa hiyo ndio ukazila kula?ilibidi ule chap chap![]()

Mimi nikiamuwaga kula hotel kubwa basi lazima nilipie buffee huwa sina masihara haili kwangu hata siku moja.Ni aibu Sana mdada unatolewa out siku ya kwanza, afu unaagiza misosi utadhani uko nyumbani kwenu.
hiyo Ni ishara kua ulkua na njaa Kali,
Hayo wanafanya wanawake wa Bei rahisi
Mwanamke classic huagiza juice, wine au maji makubwa tu.
Kama katingwa sana huagiza bites au chocolate kusindikizia, Kisha story nyngn zinaendelea.
Mtoa mada wee nae njaa Kali Sana,Najitegemea
Tatizo why ask me for a date and kujifanya you can afford everything wakati huwezi si bora uwe muwazi nikusaidie
Mwanaume yeyote mwenye akili hawez mpa nafasi mwanamke achague sehemu ya date huyo ni zwazwa haswaSasa alivyomwambia achague place it means ana afford bill...huyo kaka ni ndezi sana...🤣
Sio wewe huo ndo ustaarabuMimi nikiamuwaga kula hotel kubwa basi lazima nilipie buffee huwa sina masihara haili kwangu hata siku moja.
Hao Samaki na Kuku huwa wananitambuwa kisawasawa.
Wanawake wa kibongo,Niliwahi pata kasheshe ya kufa mtu. Nilikuwa bado mgeni mgeni. Profesa wangu alikuja akanikuta nimekaa sina hili wala lile akaniambia Shimba let's go grab some lunch. Sasa nikafikiri kuwa kwa vile yeye ndo kaniambia basi atakwenda kulipa bila shaka.
Tumepiga msosi tumemaliza namwona huyoo amekwenda akalipa bili yake huyoo akatoka nje kunisubirisha. Na mfukoni sikuwa hata na wallet. Kikawa kimbembe!
Ndiyo nikajifunza utamaduni wao. Hata binti ukimtoa out anakuja amejiandaa kulipa nusu labda uwe muungwana umkataze. Na hii inasaidia sana mtu kutoagiza wines ghali hizi za $100+ kisa tu kaona kuna mtu anamlipia. Nilipenda sana utamaduni wao huo.
Sisi huku ukimpata mtu limbukeni ambaye hana exposure ukampeleka sehemu ya maana basi anaona leo ndiyo kapata bahati. Ataagiza vitu ghali ambavyo angekuwa yeye ndo analipa asingevigusa.
Ila kama uko vizuri na ukamhakikishia mtu kuwa aagize cho chote, siyo vizuri tena kuja kumgeuka kama jamaa yetu alivyofanya. Na mabinti wenye uzoefu atamwacha kwanza jamaa aagize na yeye atachukua hints kutoka pale. Na kama wamezoeana anaweza tu kuuliza point blank kwamba una uhakika naweza kuagiza cho chote?
Unakosea kumtuhumu huyo mwanamke kosa ni la mwanaume jamii yetu inasakama sana wanawake alafu tunataka wanawake wawe wanafikiri sawa na mwanaume hapana haiwezekaniMtoa mada wee nae njaa Kali Sana,
Huna uchumi huo unaotaka kutuaminisha
Kama unao Basi wee bado Ni wale wale mshamba wa vijijini, huna exposure yoyote
Alokwambia Watu wanaendaga date ili kula kushiba ni Nani?
Jamii yetu ya kitanzania wengi wanamaisha ya kawaida sio sawa na developed country hii ni afrika ambapo watu wanakipato duniWanawake wa kibongo,
exposure bado ni tatizo Sana,
Hasa waliozoea kula viporo makwao
ukimtoa out anatafta namna akafidie kabisa
Mwanaume kweli tatizo analo,Unakosea kumtuhumu huyo mwanamke kosa ni la mwanaume jamii yetu inasakama sana wanawake alafu tunataka wanawake wawe wanafikiri sawa na mwanaume hapana haiwezekani
Sahii kabisa,Mimi nikiamuwaga kula hotel kubwa basi lazima nilipie buffee huwa sina masihara haili kwangu hata siku moja.
Hao Samaki na Kuku huwa wananitambuwa kisawasawa.
Pesa yangu afu denti anipangie akae kando.... Na ogopa Dem akwambie twende pale.... Ko yeye ile ndo biznez place yake..... Sometimes najipa hongera my self.... I have dinner na washkj tuu..... Ama ndg zangu sio lzm hawa pasua kichwaWell, uko sawa lakini swala la lodge au hotel ni la mwanaume siyo akupangie mwanamke.
Ukipenda unaweza kwenda kuspend night hata five star hotel na kama bajeti hairuhusu lodge za sh 20,000/= zipo kibao tu nzuri, safi na full Ac.
Ndo maana unamtongoza mwanamke wewe mwanaume ndo mwenye uhitaji naeMwanaume kweli tatizo analo,
Ila la mwanamke nalo Ni Tatizo pia
Tusilete gender au double standard ktk hili
Jamaa ndo kamwambia mwanamke achague ebu kuwa unasoma uziPesa yangu afu denti anipangie akae kando.... Na ogopa Dem akwambie twende pale.... Ko yeye ile ndo biznez place yake..... Sometimes najipa hongera my self.... I have dinner na washkj tuu..... Ama ndg zangu sio lzm hawa pasua kichwa
Nimejfunza wanaume wengi waliteketea na tunaisha kisa hawa viumbe.,... Unawekeza kwake financial, emotional, na kila kitu bdo anafanya ujinga..... I have to balance mapenzii myself then ndo ni sambaze kwake...... Hivyo tuu....
Maake utamfanyia kila kitu na bdo haoni.
Mtoa mada alitakiwa kujisitiri na kumsitiri jamaa Yake, wote wamekutana Ni njaa Kali afu waigizaji. Tatizo nnaloliona, mmoja wao kamzidi maigizo mwenzieNdo maana unamtongoza mwanamke wewe mwanaume ndo mwenye uhitaji nae
Na mimi naombea wanawake waendelee kuwa hivi hivi tegemezi ni faida kubwa sana kwa wanaume na jamii kwa ujumla
Western countries wanawake wameweza kuwa na financial freedom wakaanza kudai haki sawa na hata mimba hawataki tena kubeba
