Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,014
- 95,521
Nili kuambia Kijana😂😀, haya Mambo siya wezi🤣🤣yesu wangu🤣
tuache kuiga vitu vya wazungu bana
Nili kuambia Kijana😂😀, haya Mambo siya wezi🤣🤣yesu wangu🤣
tuache kuiga vitu vya wazungu bana
Lipi Hilo mtu anajidai wa bei juu wakati mfukoni Hana hata mia.Usilolijua ni sawa na usiku wa giza![]()
Utasikia nataka kidume mwenye gari🤣😀, akati baba yake toroli tu lime mshinda🤣🤣😀Nawe ulikuwa mlaku sana, ulichagua sehemu ya gali na vya ghali eboo.
Kwani babako aliwahi kumpeleka ma mkwe pale?
🤣🤣🤣
Wewe si ndo juzi kati hapa ulikuja na uzi wako wa kutaka kumtema msela kua humpendi lakini at the same time unataka abaki in ur life kwa kigezo cha "hakuna ajuaye kesho?".
Kumbe hizi ndo mbanga zako za kupenda maisha ya juu eh??
Simtetei jamaa kwa alichofanya, but hata wewe una ka tatizo. Huyo mjamaa, wewe ndo unajua kabisa pumzi yake kiuchumi, so ungeweza kuchagua sehem affordable.
Pili, jifunze na wewe kutumia hela yako. Mnapenda ganda la ndizi sana.


LolzzzKweli Mzee na mtoa madam kakiri yeye ni "Independent woman"Huyo alikosea sana, ilitakiwa baada ya kushiba Saa ya kulipa alipie maji amwambie mhudumu kila mtu analipa bili yake nipo na super woman na asibadili msimamo.
I be like teh tee🤣😀😂Wenye mbwembwe kama zako huwa hsmna lolote.
Mwanaume hupaswi kuwa na mambo mengi hivi.
Na wanawake wenye akili hukupima kwa idadi ya maneno yako.
Wewe unaliwa kichwa saa 2.
Wadanganye akina Mwajuma wa Tandale pekee
Akikutoa Tena Dinner Niite Mbwa.. Mwanaume anakupima Ww ni mtu wa Namna Gani siku ya Kwanza Tu ... Hapo keshaona Huyu hanifai kwenye Shuda na Raha.. Maana Siku akikosa Utaleta Uzi tena humu
Na Mimi nakuona kamq Mjinga Na Mwanamke wa Hovyo kwa Kuleta humu
Sasa kama umeshaona hayo madhaifu yake si ungemwambia abadilike au ungemvumilia? Ukimuacha huyo mwanaume ni faida kwake coz wewe sio wife material,huna uvumilivu,hata ungeishi na huyo mwanaume,siku ambayo itatokea matatizo ungemkimbia tu,huenda hata yeye amekuwekea huo kama mtego tu ili akupime uvumilivu wako.My point is Kwann mwanaume usiwa honest kuwa unaweZa kuafford places flani?
Na kama mwanaume unataka 50 -50 si useme sasa ili mjadiliane mjue how we move forward
Wauzaji mnashauriana...Bora ulivyofuta namba yake, huyo angekusumbua sana siku za usoni....
Hana haiba ya uanaume, hajiamini, hana aibu pia.
Inaonekana wewe ni mkosa uvumilivu kama mtoa mada.Bora ulivyofuta namba yake, huyo angekusumbua sana siku za usoni....
Hana haiba ya uanaume, hajiamini, hana aibu pia.
Sa mbona masimango?Hali yangu ya maisha iko vizuri dear
Na Ndio maana nikamuachia ale yeye
umemaliza. Huyu mtoa mada ni kiti-moto mmoja, anaagiza vitu ambavyo angekuwa peke yake hawezi..Ana bahati kwanza baharia alitakiwa achimbe amwachie msalaNiliwahi pata kasheshe ya kufa mtu. Nilikuwa bado mgeni mgeni. Profesa wangu alikuja akanikuta nimekaa sina hili wala lile akaniambia SYB let's go grab some lunch. Sasa nikafikiri kuwa kwa vile yeye ndo kaniambia basi atakwenda kulipa bila shaka.
Tumepiga msosi tumemaliza namwona huyoo amekwenda akalipa bili yake huyoo akatoka nje kunisubirisha. Na mfukoni sikuwa hata na wallet. Kikawa kimbembe!
Ndiyo nikajifunza utamaduni wao. Hata binti ukimtoa out anakuja amejiandaa kulipa nusu labda uwe muungwana umkataze. Na hii inasaidia sana mtu kutoagiza wines ghali hizi za $100+ kisa tu kaona kuna mtu anamlipia. Nilipenda sana utamaduni wao huo.
Sisi huku ukimpata mtu limbukeni ambaye hana exposure ukampeleka sehemu ya maana basi anaona leo ndiyo kapata bahati. Ataagiza vitu ghali ambavyo angekuwa yeye ndo analipa asingevigusa.
Ila kama uko vizuri na ukamhakikishia mtu kuwa aagize cho chote, siyo vizuri tena kuja kumgeuka kama jamaa yetu alivyofanya. Na mabinti wenye uzoefu atamwacha kwanza jamaa aagize na yeye atachukua hints kutoka pale. Na kama wamezoeana anaweza tu kuuliza point blank kwamba una uhakika naweza kuagiza cho chote?

Mje muanze kulialia na hela za mawazo 🤣🤣🤣🤣Next month lets meet for a dinner date. Chagua sehemu nzuri uipendayo.
bhas hapo unajiona umewin yan unajiona una akili sana unajua kuchagua!!!nimalizie tu kwa kusema wew ni zoba zoba zoba.Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Sema ukiwa na umri 20s unabidi kuishi MAISHA yenye maana na sio kutegemea offer za wanaume ili upate kitu, sometime waafrica mnakuwa kwa kurudi nyuma na sio kwenda mbele.Siijui pumzi yake alikua ananitongoza na sikumkubalia akadhani akifanya ivo ntakua interested
Na Ndio ni mm nilikuja na thread ya kumkataa mwanaume ambae simpendi. Ku choose wisely na kuwakataa wanaume wengine Ndio kupenda maisha ya juuLolzzz
Kwanza msichana wa kuniambia chagua sehemu hayupo. Na hata ningekuwa ndo huyo msichana ningechagua sehemu kulingana na kipato cha jamaa.Ata ww ungeambiwa chagua any place I bet ungechagua hata Hyatt![]()