Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Wewe si ndo juzi kati hapa ulikuja na uzi wako wa kutaka kumtema msela kua humpendi lakini at the same time unataka abaki in ur life kwa kigezo cha "hakuna ajuaye kesho?".
Kumbe hizi ndo mbanga zako za kupenda maisha ya juu eh??
Simtetei jamaa kwa alichofanya, but hata wewe una ka tatizo. Huyo mjamaa, wewe ndo unajua kabisa pumzi yake kiuchumi, so ungeweza kuchagua sehem affordable.
Pili, jifunze na wewe kutumia hela yako. Mnapenda ganda la ndizi sana.

Siijui pumzi yake alikua ananitongoza na sikumkubalia akadhani akifanya ivo ntakua interested
Na Ndio ni mm nilikuja na thread ya kumkataa mwanaume ambae simpendi. Ku choose wisely na kuwakataa wanaume wengine Ndio kupenda maisha ya juu Lolzzz
 
Wenye mbwembwe kama zako huwa hsmna lolote.

Mwanaume hupaswi kuwa na mambo mengi hivi.

Na wanawake wenye akili hukupima kwa idadi ya maneno yako.

Wewe unaliwa kichwa saa 2.
Wadanganye akina Mwajuma wa Tandale pekee
I be like teh tee🤣😀😂
 
Akikutoa Tena Dinner Niite Mbwa.. Mwanaume anakupima Ww ni mtu wa Namna Gani siku ya Kwanza Tu ... Hapo keshaona Huyu hanifai kwenye Shuda na Raha.. Maana Siku akikosa Utaleta Uzi tena humu

Na Mimi nakuona kamq Mjinga Na Mwanamke wa Hovyo kwa Kuleta humu

Kabisa asee yani mpaka saiv bado hajielewi kuwa ulikuwa mtego na amenasa! Ila tunaweza mpa lawama bure mtoa mada kumbe ni kibinti kidogo ndo kinachipukia bado hajajua maisha ni nini
 
My point is Kwann mwanaume usiwa honest kuwa unaweZa kuafford places flani?
Na kama mwanaume unataka 50 -50 si useme sasa ili mjadiliane mjue how we move forward
Sasa kama umeshaona hayo madhaifu yake si ungemwambia abadilike au ungemvumilia? Ukimuacha huyo mwanaume ni faida kwake coz wewe sio wife material,huna uvumilivu,hata ungeishi na huyo mwanaume,siku ambayo itatokea matatizo ungemkimbia tu,huenda hata yeye amekuwekea huo kama mtego tu ili akupime uvumilivu wako.
 
Kwamba jamaa kajifanya ameshiba ila at the end kapiga chote hahah over budget inauma sana
 
Niliwahi pata kasheshe ya kufa mtu. Nilikuwa bado mgeni mgeni. Profesa wangu alikuja akanikuta nimekaa sina hili wala lile akaniambia SYB let's go grab some lunch. Sasa nikafikiri kuwa kwa vile yeye ndo kaniambia basi atakwenda kulipa bila shaka.

Tumepiga msosi tumemaliza namwona huyoo amekwenda akalipa bili yake huyoo akatoka nje kunisubirisha. Na mfukoni sikuwa hata na wallet. Kikawa kimbembe!

Ndiyo nikajifunza utamaduni wao. Hata binti ukimtoa out anakuja amejiandaa kulipa nusu labda uwe muungwana umkataze. Na hii inasaidia sana mtu kutoagiza wines ghali hizi za $100+ kisa tu kaona kuna mtu anamlipia. Nilipenda sana utamaduni wao huo.

Sisi huku ukimpata mtu limbukeni ambaye hana exposure ukampeleka sehemu ya maana basi anaona leo ndiyo kapata bahati. Ataagiza vitu ghali ambavyo angekuwa yeye ndo analipa asingevigusa.

Ila kama uko vizuri na ukamhakikishia mtu kuwa aagize cho chote, siyo vizuri tena kuja kumgeuka kama jamaa yetu alivyofanya. Na mabinti wenye uzoefu atamwacha kwanza jamaa aagize na yeye atachukua hints kutoka pale. Na kama wamezoeana anaweza tu kuuliza point blank kwamba una uhakika naweza kuagiza cho chote?
umemaliza. Huyu mtoa mada ni kiti-moto mmoja, anaagiza vitu ambavyo angekuwa peke yake hawezi..Ana bahati kwanza baharia alitakiwa achimbe amwachie msala
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
bhas hapo unajiona umewin yan unajiona una akili sana unajua kuchagua!!!nimalizie tu kwa kusema wew ni zoba zoba zoba.

Wanawake wengine sijui inakuaje yan km jana nipo nyuma ya vibint viwil miaka yao ni km 22-24 kimoja kinamshaur mwenzake bwana ake akimtumia msg amwambie kuwa simu yake ni mbovu amnunulie akigoms bhas asipokee simu zake niliwaangalia ukiwaona sas km wanawake wa maan kumbe kichwani ni mavi matupu
 
Siijui pumzi yake alikua ananitongoza na sikumkubalia akadhani akifanya ivo ntakua interested
Na Ndio ni mm nilikuja na thread ya kumkataa mwanaume ambae simpendi. Ku choose wisely na kuwakataa wanaume wengine Ndio kupenda maisha ya juu Lolzzz
Sema ukiwa na umri 20s unabidi kuishi MAISHA yenye maana na sio kutegemea offer za wanaume ili upate kitu, sometime waafrica mnakuwa kwa kurudi nyuma na sio kwenda mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom