Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Mkuu Simiyu,usisahau kucha na meno hawa jamaa ni full magaidiKazi zenu mlizonazo chadema zinatosha ni mandamani,vurugu,tindikali nk mkiongeza zingine mnajiumiza wenyewe.
Mkuu Simiyu,usisahau kucha na meno hawa jamaa ni full magaidiKazi zenu mlizonazo chadema zinatosha ni mandamani,vurugu,tindikali nk mkiongeza zingine mnajiumiza wenyewe.
"umepiliwa"?? kweli CHADEMA imeua elimu yetu.
Kama huipendi chadema chukua sumu ya panya unywe ufe kabisa magamba weee
Sana mkuu tangu wamteke mama yake zito nilichoka nao ama kweli si watu ni wanyama.Mkuu Simiyu,usisahau kucha na meno hawa jamaa ni full magaidi
Njoo pwani tukufundishe lugha pwani ya mto simiyu,muulize kileo hana hamu lwakatare ndiyo kabisa.
mbowe, lissu +??kumbuka kunamtu alipata zero mnaye na wengine wagonjwa wawili.
Inasifiwa na mtei tu na wachaga wa moshi hakuna kwingine,huwezi kusifia watu wanaoua watu.Ndugu yangu hata mie nilitaka kumjibu mleta mada kama wewe ulivyomjibu ila nikachukua muda wangu kuusoma huu uzi tena nikamuelewa....Naomba nawe ufanye hivyo...
Kimsingi Chadema inasifiwa na sio kuchukiwa....
Hizo ndizo akili za kujiwasha na kujikuna na kijiti.Mwenye akili na busara zao wameshakusoma mkuu,subili waje wachumia tumbo uone watavyokupinga
Kumbuka kunamtu alipata zero mnaye na wengine wagonjwa wawili.
+lema na msigwa.mbowe, lissu +??
komba,nkamia,lusinde,majimarefu and co.Kumbuka kunamtu alipata zero mnaye na wengine wagonjwa wawili.
Kusha kucha na makucha yake. Chizi mmoja anaokota lundo lake la matakataka huko atokako kisha alileta kwenye kadamnasi ya watu, ghafra wanatokea wendawazimu wenzake nakuanza kuya gombea yale matakataka hali inayo pelekea harufu mbaya pale kwenye ile kadamnasi nawatu wenye akili kuanza kubana pua zao kukwepa harufu ile, hali inazidi kua mbaya mwisho wenye akili wanalazimika kutawa nyika nakuwaacha vichaa watupu wakiendelea kutawanya zile takataka zao. (chukua hatua)
Sio akili kubwa kwasababu kwa hali tuliyofikia mpaka hzo phd zinahujumiwa.....!
Mr dhaifu nae anaitwa Dr Jah
Sana mkuu tangu wamteke mama yake zito nilichoka nao ama kweli si watu ni wanyama.
Chadema imeua utaifa na uzalendo,sera za majimbo zimewafanya baadhi ya watu kuwa na fikra za kujitenga na kujiona bora."umepiliwa"?? kweli CHADEMA imeua elimu yetu.
Upinda unawasumbua........!
Wagonjwa wawili mbona waliondoka wamehamia kwenu baada yakuona kule ni kwa watu wenye afya zao.Bila shaka unawaongelea Shonza na mwenzie.
Kuna yule mgonjwa anayetibiwa na kigwangala anakale katatizo cha kichwani kama kofia.Upinda unawasumbua........!
Wagonjwa wawili mbona waliondoka wamehamia kwenu baada yakuona kule ni kwa watu wenye afya zao.Bila shaka unawaongelea Shonza na mwenzie.
Inasifiwa na mtei tu na wachaga wa moshi hakuna kwingine,huwezi kusifia watu wanaoua watu.