Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Ni kweli mkuu na sijui kama anaendelea na dawa alizoambiwa na kigwangala.Mbona huyu ni gold member Mirembe na jumuiya ya machizi duniani inamtambua.
Ni kweli mkuu na sijui kama anaendelea na dawa alizoambiwa na kigwangala.Mbona huyu ni gold member Mirembe na jumuiya ya machizi duniani inamtambua.
Kusha kucha na makucha yake. Chizi mmoja anaokota lundo lake la matakataka huko atokako kisha alileta kwenye kadamnasi ya watu, ghafra wanatokea wendawazimu wenzake nakuanza kuya gombea yale matakataka hali inayo pelekea harufu mbaya pale kwenye ile kadamnasi nawatu wenye akili kuanza kubana pua zao kukwepa harufu ile, hali inazidi kua mbaya mwisho wenye akili wanalazimika kutawa nyika nakuwaacha vichaa watupu wakiendelea kutawanya zile takataka zao. (chukua hatua)
waliwezaje kwa huyu mama wakati zitto walimshindwa?
Miss nilikwambia unaona sasa yameanza?!hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Uwezo mkuu,dogo uwezo mdogo kunamhuni mwingine wa kawe naye harudi watu hawamtaki kabisa jimboni.Degree ya Mnyika imeishia njiani
Bora mipasho mkuu kuliko matusi na wazinzi wa kupora wake za watu hii dhambi hamtaikimbia mkuu.
Mleta uzi ni mnafiki alichokiandika ni madongo kwa chama tawala.
Phd ndo akil kubwa?
Thubutuuu.......!
Unafikiri Mwigulu yule au tumbotumbo.
Mbona mwenyekiti wako akili yake ndogo anaongoza watu wenye phd na maprf.
Ni kweli mkuu na sijui kama anaendelea na dawa alizoambiwa na kigwangala.
Mkuu hachana na m.p.u.m.b.a.v.u asiyejitambua huyo,utapoteza muda wako mwingi kumuelewesha lakini hatokuelewa!
Huwezi kupenda chadema wakati inaua watu kwa mabomu.
Nanini kakwambia akili ni madarasa mengi...? hiv Prof Maghembe na elimu yake yote ile unadhani ana akili?
Yameanza mabomu tena?.........
Ebu apa kama kweli hauipendi ChademaMkuu Mingoi, unafiki wangu unatoka wapi tena wakati nmeweka wazi kwamba siipendi chadema na sababu nimezitoa?
Umemsahau Prof Majimarefu pia....