miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
ukiunganisa shahada za kanisani alizopata SLAA haziwezi kufikia hata moja ya JK. Ukumnuke hata mapadre wengine wakitaka elimu zao walizopata makanisani zitambulike huwa wanajitahidi kusoma vyuo vya elimu vinavyotambulika , tuambie SLAA kasoma chuo gani kinachotambulika.
Hoja hapa sio upadre wala kanisa......!
Hoja ni Phd ndo akili,Ss Huyo Dr Jah kaisomea wapi hiyo?kama sio zawadi tu kama barabara ya ocean kupewa mmarekani.