- Thread starter
- #441
wewe mbwiga kwelikweli.
Mkuu ungepata breakfast kwanza, ubongo ukiwa na njaa unasababisha poor understanding
wewe mbwiga kwelikweli.
nahisi una ujauzito wa mwigulu na utajifungua njiti mwenye utindio wa ubongo kama ccm!
Hii ina dhihiririsha kwamba, akili ndogo aiwezi kuongoza akili kubwa.
Imekuuma ehee?!,we
mwenyewe hapo ulipo ni mchumia Tumbo tena unazisaka kwa kutumia sumu
hadi kwenye baa.
sijawahi kutoa lugha chafu humu jamvini hata siku moja na ndio maana sijawahi kupewa likizo ya lazima, niletee post yoyote ile niliyo toa lugha ya kuudhi km ipo?
Unawalaumu washangiliaji badala ya warusha mabomu Chadema hivi akili yako inafanya kazi au umeiweka rehani Togo?
KWELI UMESEMA , FREEMAN MBOWE ,AKILI NDOGO ( FORM IV - DIV. 0 ) KUONGOZA AKILI KUBWA DR. SLAA ( Phd..???? ).
Kwa nini usiishauri serikali yenu ya "chama cha mapungufu" iwapeleke mahakamani hao CHADEMA!?? au inawaogopa??
tatizo chama cha DEMOGHASIA DAMU NA MAANDAMANO hamjielewi, mnapandikiza chuki penye upendo, fitna penye maelewano na shari penye kheriKwa nini usiishauri serikali yenu ya "chama cha mapungufu" iwapeleke mahakamani hao CHADEMA!?? au inawaogopa??
Mkuu Ritz
Kauzu ameshajipoteza mwenyewe game kubwa hii haiwezi; waganga njaa wanalikimbia jukwaa kwa umakini wetu sasa wanakuja mapimbi wadogowadogo kuja kuchafua watu; wazee wao wanaadika ngonjera kwenye jukwaa la great thinkers pumba zimehamia huko siku hizi!
Unalia kitu gani mchadema wewe?
Mkuu Ritz
Kauzu ameshajipoteza mwenyewe game kubwa hii haiwezi; waganga njaa wanalikimbia jukwaa kwa umakini wetu sasa wanakuja mapimbi wadogowadogo kuja kuchafua watu; wazee wao wanaadika ngonjera kwenye jukwaa la great thinkers pumba zimehamia huko siku hizi!
huko GT kuna pumba,ngonjera na taarab tofauti na hizi unazopost hapa?unless utuambie hiki au akili hii inayopost humu humu ndio hiyo hiyo inayopost kule GT kwasababu hapa hakuna unachofanya zaidi ya kuandika mafinyo finyo na mambo mengine yasiyoeleweka,umekuwa mtu wa hovyo sana siku za karibu.
muda wote mnautumia kujadili watu,eti huju ni mchadema badala ya kujadili kile alichokisema,typically parochial way of thinking