Siipendi CHADEMA

Siipendi CHADEMA

Na hasa ukizingatia kwamba kuna kijana wao shapu kweli kwa kutembea na kutumia sumu mifukoni mwake!
Hivi degree yako haijakusaidia muheshimiwa diwani ulimuweza tu yule mzee kumtoa umeya zaidi ya hapo dili limebuma ha ha under thirty unalama m.a.ka.lio ya mwigulu stupido you
 
Labda kama wewe hakimu.....!
Alisemwa Sugu lakini mahakama yenu,polisi wenu ,hakimu wenu lakini wamethibitisha kuwa Waziri mkubwa ni pumba.vu.
Singizieni tu watu kesi zenu zakutengeneza.

Kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba hata ile ya kwako iliyokaribia kupelekwa mahakamani utakuwa umesingiziwa Miss?!
 
Kuipenda chadema ni sawa na kunywa sumu ili ufe huku unaona.

Baki huko CCM mr masalia nani atakufungulia mlando chadema wakati akili yako ni nta zimeganda unadhani nchi inaendeshwa na kupata maendeleo kwa kuipenda au kutoipenda chadema
 
Hivi degree yako haijakusaidia muheshimiwa diwani ulimuweza tu yule mzee kumtoa umeya zaidi ya hapo dili limebuma ha ha under thirty unalama m.a.ka.lio ya mwigulu stupido you

Stupido too!!!,Dogo mambo vipi?!,we umeshamaliza zile sumu zako?au kwa sababu umezoea kupiga tu 0713?!uwe unapiga na 0754! matumizi yake ni mzuri pia!
 
Ndio lwakatare anavyowatumiaga nyie vijana wake?? Ona alivyomtosa ludo saivi anaozea jela mtoto wa watu, ona kilewo anavyoteseka sasa. Say no to tindikali na sumu
Zile tuhuma za ugaidi alizotengeza Nchemba mbona zimefutwa au editor alibugi,ushahidi hadi Mbinguni hahahaaaa ona Mungu alivyomtapika sasa anatembea na kamba ya Ng'ombe kichaa kikimpanda wanamfungia kwenye buti..
 
umeitetea serikali na familia ya kikwete zaidi ya kukusaidia kununua magari kibao uwaziri umekosa,kuwa mfanyakazi wa TISS umestukiwa kilachabaki endelea na mwigulu na plan zenu za kusingizia ooh mama yangu anataka kuuawa na mwanchadema,sijui nani kamwagiwa tindikali sijui nani kalusha bomu ni guilty conscious pole kijana safari yako ya kisiasa imeingiwa giza wanaume wamekubana vitu katikati ya mapaja

Hahahaha. Mkuu siku hizi umeamua kuwa mganga wa kienyeji?
 
Hebu chek na kilewo au lwakatare kwanza


Mahakama imemuondolea kesi ya ugaidi lwakatale Jaribu kucheki na savimbi/Mwigulu aliitengenezea wapi ile video

Mahakama imemuondolea kesi ya tusi mh mbunge J. mbilinyi cheki na kamusi ya bunge maana ya mpu.m.bavu nini!

Mahakama itamuondolea kesi ya uzushi na kijinga kilewo kwa sababu ccm inatunga kesi na kubambikia wapinzani.

Jitazame mkuu ukiona wewe unafaidi ndani ya muundo/system ujuwe ndugu zako mijini na vijijini wanateseka kwa sera za

ccm zisizotekelezeka na kuishia kwenye uzushi na utapeli wa kisiasa.
 
Mpigilie ni -------- wamwisho(anajua hajui,lkn anajifanya anajua) na anataka kupotosha watu..ila huku jf watu tunajua sanaaaa.aende uku vjjn walipozoea kupotosha watu wao waliokubali kufanywa wajinga.

Mkuu Future tanzania, mi nimetoa tu hisia zangu kwamba siipendi chadema, kama we unaipenda chadema na nimekukwaza naomba unisamehe
 
Hata baada ya kwenda India kuchokonolewa ubongo bado huna akili sawa sawa hiyo PHD yako thesisi nini kisima cha ufitini ha ha ha utalijua jiji hasiria mpak kati ya utosi unachukia chama kilichokufundisha kuvaa soksi

Tawile mganga.
 
Mahakama imemuondolea kesi ya ugaidi lwakatale Jaribu kucheki na savimbi/Mwigulu aliitengenezea wapi ile video

Mahakama imemuondolea kesi ya tusi mh mbunge J. mbilinyi cheki na kamusi ya bunge maana ya mpu.m.bavu nini!

Mahakama itamuondolea kesi ya uzushi na kijinga kilewo kwa sababu ccm inatunga kesi na kubambikia wapinzani.

Jitazame mkuu ukiona wewe unafaidi ndani ya muundo/system ujuwe ndugu zako mijini na vijijini wanateseka kwa sera za

ccm zisizotekelezeka na kuishia kwenye uzushi na utapeli wa kisiasa.

....Mkuu mhurumie huyo zaidi ya U-cargo atajuwa nini.....
 
Mkuu Future tanzania, mi nimetoa tu hisia zangu kwamba siipendi chadema, kama we unaipenda chadema na nimekukwaza naomba unisamehe

hawa watu noma sana mkuu, yeye atakwambia anampenda mkeo
 
Kweli CDM haifai maana inawakataza wamarekani kuchukua Madini yetu na dhahabu ambazo hazina faida kwetu! Wivu tu umewajaa hawa CHADEMA...
 
Back
Top Bottom