Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
Usimsahau na yule anayotembea nayo mfukoni usiku na mchana akimuwinda Zitto sio ndio mkuu wa ugavi au maabara ya sumu.Mkurugenzi wa sumu na mabomu wilfred lwakatare
Usimsahau na yule anayotembea nayo mfukoni usiku na mchana akimuwinda Zitto sio ndio mkuu wa ugavi au maabara ya sumu.Mkurugenzi wa sumu na mabomu wilfred lwakatare
Na hakuna akili timamu inayoweza kuandika upum.bavu kama ulioandika wewe Jicho
Hebu cheki na sa8 akupe sumu kidogo au kilewo km ana tindikaliChagonja kasema mzigo bado haujapakuliwa bandarini,watasambaza kwa ma-RPC wote..
Nani uyo dada au atakuwa Chris Lukosi,Nchemba anatembea na doz yake na kamba za ng'ombe...Wana kawaida ya kutoroka hospitali na kukatisha dozi hawa
Wana kawaida ya kutoroka hospitali na kukatisha dozi hawa
Hebu cheki na sa8 akupe sumu kidogo au kilewo km ana tindikaliChagonja kasema mzigo bado haujapakuliwa bandarini,watasambaza kwa ma-RPC wote..
Kama unakubali kuwa mmewamwagia watu tindikali na kujilipua wenyewe kwa mabomu, mnashindwa nini kumuua MWANGOSI, KUMTESA ULIMBOKA na KIBANDA? Lengo si serikali ionekane inahusika? Mkuu watanzania wakanja sana, wameshawashtukia CDM hamna pa kujificha tena
T. Lisu.....UK Cargo?
Una bomu hapo??
Kibanda hakuhama freemedia kwa amani...chadamu mnakodi askari wakauwe watu kwny mikutano yenu ili mpate huruma ya ummaWale askari waliomshambulia Mwangosi kama mpira wa kona ni Chadema!
Na lile bomu mliomfua nalo ni chadema....!
Kile kigofu cha polisi kilichokuwa kinawafuatilia Kibanda na mwenzie mpaka maeneo ya Sinza wik chache mpaka kutobolewa jicho ni chadema.....!
Dogo Miss ameshafika pale nanihiii mlipokubaliana,lakini kuwa makini kwa sababu nasikia Dk.naye yuko njiani kwenye list ya leo.lakini inabidi ubebe sumu nyingi mifukoni mwako kwa ajili ya kujilinda.
Hebu chek na kilewo au lwakatare kwanzaNadhani mwigulu atakuwa amebakisha machache alopewa china, mwone tu na kisha pitia kwa chagonja akufaham asije
akasema wewe ni cdm wakati ni mtumwa wa mwigulu na ccm.
Mkuu, hao wanatembea na sumu hadi bar, wanatishia vikongwe kwa bastola, wanamwagia watu tindikali..kilichobaki ni kutukamata wazima wazima na kula nyama ya watu live pale kinondoni mtaa wa ufipayote uliyoandika ni uongo,si kweli na umetumwa kukidhalilisha chama tawala,mmedanganywa na wanasiasa uchwara wasiojua historia ya taifa hili kwamba kukidhalilisha chama tawala kwa wananchi kunatosha kuwafanya wananchi wawaone kama mbadala wa CCM jambo ambalo si kweli
1.haiwezekani usalama wa taifa ukaripoti CDM,ungekuwa mchina au mrusi ungeambiwa una classified information na wangeku prosecute haraka sana
2..CDM haina sera makini inayoweza kutumiwa kuongoza nchi,na kamwe chama tawala hakiwezi kuacha sera zake zilizofanya wananchi wakipigie kura ili kutekeleza sera za chadema,serikali iliyopo madarakani ni ya CCM na inatekeleza sera za CCM
3.Wananchi hawakuipa CCM KULA,walikipigia kura za kutosha ili kifanye maamuzi kwa manufaa yao
4.kaka ebu acha kuwadhalilisha watanzania,maneno yanaumba...mwana falsafa mmoja wa kigiriki aliyeishi duniani kabla ya kristo saliwahi kusema*you are what you think
Sumu zenu balaa.....maana kama Kyembe ilimbabua kwel kweli.Hivi mnatoaga wapi?!!!
Kibanda hakuhama freemedia kwa amani...chadamu mnakodi askari wakauwe watu kwny mikutano yenu ili mpate huruma ya umma
Wewe ndo utapunguza madaraka ya rais au tanzania unadhani ni chadema watu wako na busara zao,wako imara wanajenga taifa.aiseeeee babayangu nynyi endeleeni kubishana chadema mimi ngoja NIKATOWE MAONI YA KATIBA MPYA KUHUSU KUMPUNGUZIA MADARAKA RAIS
vipi ule ushahidi wa kujirushia bomu aliusema MAkengeza haujakamilika?
Hakuna shughuri yoyote zaidi ya kulipua mabomu watu.Huruma Arusha tena kwa chadema.......muulize Batilda Buriani anaijua shughuli yake.