Siipendi CHADEMA

Siipendi CHADEMA

Mpigilie ni -------- wamwisho(anajua hajui,lkn anajifanya anajua) na anataka kupotosha watu..ila huku jf watu tunajua sanaaaa.aende uku vjjn walipozoea kupotosha watu wao waliokubali kufanywa wajinga.
 
Wamesema wanaushahidi wa kupeleka kwa majaji mbona hawapeleki,mbona majaji wapo wengi tu wanasubiri nini kupeleka.
 
Kilewo mtu mbaya sana

Labda kama wewe hakimu.....!
Alisemwa Sugu lakini mahakama yenu,polisi wenu ,hakimu wenu lakini wamethibitisha kuwa Waziri mkubwa ni pumba.vu.
Singizieni tu watu kesi zenu zakutengeneza.
 
Labda kama wewe hakimu.....!
Alisemwa Sugu lakini mahakama yenu,polisi wenu ,hakimu wenu lakini wamethibitisha kuwa Waziri mkubwa ni pumba.vu.
Singizieni tu watu kesi zenu zakutengeneza.
Hakuna mtu anayeundiwa kesi mnajitekenya na kucheka wenyewe tu.
 
Wewe ndo utapunguza madaraka ya rais au tanzania unadhani ni chadema watu wako na busara zao,wako imara wanajenga taifa.

aiseeee babayangu wewe 0715 nini kwani sipaswi kutowa maoni katiba mpya au kwakua inakuuma sana kumpunguzia rais madaraka k kweli wewe
 
Slaa kuiba mke wa watu.
Mbowe kumiliki casino inayofanyakazi ya kuuza miili ya dada zetu.
Slaa kujikopesha mij 140mali ya walalahoi.
Ugaidi wa kuua, kung'oa kucha,meno bila ganzi.
Slaa kufukuza wanachama wote wanaopingana na mawazo yake.
Kuandaa mkakati maridadi wa kumchafua Zitto ili kuishusha cqedit yake katika jamii.
Ulipofeli ukaratibiwa mwingine kumuua ikiwemo kulegeza taili za gari yake na kumnywesha sumu yote haya kayaratibu slaa.
Lema kubaka huko Uk na kuuza madawa ya kulevya hapo Arusha-tetesi kutoka kwa mateja wa Arusha.
Aisee ngoja niishie hapa ila hiki chama kimejaa damu za binadamu tu.
 
Wakuu kama kuna mtu mwenye uelewa na hii thread msaada plzzzzz...
 
Slaa kuiba mke wa watu.
Mbowe kumiliki casino inayofanyakazi ya kuuza miili ya dada zetu.
Slaa kujikopesha mij 140mali ya walalahoi.
Ugaidi wa kuua, kung'oa kucha,meno bila ganzi.
Slaa kufukuza wanachama wote wanaopingana na mawazo yake.
Kuandaa mkakati maridadi wa kumchafua Zitto ili kuishusha cqedit yake katika jamii.
Ulipofeli ukaratibiwa mwingine kumuua ikiwemo kulegeza taili za gari yake na kumnywesha sumu yote haya kayaratibu slaa.
Lema kubaka huko Uk na kuuza madawa ya kulevya hapo Arusha-tetesi kutoka kwa mateja wa Arusha.
Aisee ngoja niishie hapa ila hiki chama kimejaa damu za binadamu tu.

Akili za kumezeshwa na Lameck.
 
Baba v punguza jazba usijali magogoni yenu itabakia humuhumu.

umeitetea serikali na familia ya kikwete zaidi ya kukusaidia kununua magari kibao uwaziri umekosa,kuwa mfanyakazi wa TISS umestukiwa kilachabaki endelea na mwigulu na plan zenu za kusingizia ooh mama yangu anataka kuuawa na mwanchadema,sijui nani kamwagiwa tindikali sijui nani kalusha bomu ni guilty conscious pole kijana safari yako ya kisiasa imeingiwa giza wanaume wamekubana vitu katikati ya mapaja
 
Slaa kuiba mke wa watu.
Mbowe kumiliki casino inayofanyakazi ya kuuza miili ya dada zetu.
Slaa kujikopesha mij 140mali ya walalahoi.
Ugaidi wa kuua, kung'oa kucha,meno bila ganzi.
Slaa kufukuza wanachama wote wanaopingana na mawazo yake.
Kuandaa mkakati maridadi wa kumchafua Zitto ili kuishusha cqedit yake katika jamii.
Ulipofeli ukaratibiwa mwingine kumuua ikiwemo kulegeza taili za gari yake na kumnywesha sumu yote haya kayaratibu slaa.
Lema kubaka huko Uk na kuuza madawa ya kulevya hapo Arusha-tetesi kutoka kwa mateja wa Arusha.
Aisee ngoja niishie hapa ila hiki chama kimejaa damu za binadamu tu.
Hata baada ya kwenda India kuchokonolewa ubongo bado huna akili sawa sawa hiyo PHD yako thesisi nini kisima cha ufitini ha ha ha utalijua jiji hasiria mpak kati ya utosi unachukia chama kilichokufundisha kuvaa soksi
 
Back
Top Bottom