Siipendi CHADEMA

Siipendi CHADEMA

Kweli,tofauti na ccm ambalo ni genge la MAGAIDI,MAFISADI,WEZI na MAJANGILI wa kimataifa..

kumwagia watu tindikali, kulisha watu sumu na kuwatafta popote pale walipo hadi bar, kujilipua kwa mabomu ili uhurumiwe na wananchi, kutishia vikongwe na walemavu kwa bastola..wauwaji wakubwa na mungu atawalaani daima
 
Ndio Mkuu kwa sababu naona anakufaa sana tu,kwa sababu nikiangalia picha yako na yake nilizozikuta sehemu flani naona naona mnaendana tena ni saizi yako kwelikweli au nikuwekee hapa mkuu uone?!

Ziweke mkuu nithaminishe usijekuwa unanisainisha mkataba wa kupeleka gesi bagamoyo..
 
kumwagia watu tindikali, kulisha watu sumu na kuwatafta popote pale walipo hadi bar, kujilipua kwa mabomu ili uhurumiwe na wananchi, kutishia vikongwe na walemavu kwa bastola..wauwaji wakubwa na mungu atawalaani daima

Mungu atulaani zaidi ya laana hii tuliyopewa kwa kuongozwa na ccm!?? basi hatakuwa fair
 
Naskia baada ya katibu mrefu kumaliza meno ya tembo, akina Hu Jintao wamewaambia hata kucha na meno ni dili pia ndo maana wamebadili mwelekeo, inabidi tutengeneze HELMET za kuvaa kwenye vidole na mdomoni ili kulinda meno na kucha zetu..

Mkuu kuna vifaa maalum vimeshaingia nchini kwa ahili ya kupasua HELMET kwa hiyo haisaidii,kubwa ni wewe kuachana na ukuda tu!
 
Kweli,tofauti na ccm ambalo ni genge la MAGAIDI,MAFISADI,WEZI na MAJANGILI wa kimataifa..
Sawa tumekusikia Baba V ukimaliza pitisha boksi la kuomba mia mia halafu jirushie kale kabomu
 
Chadema inawanaharakati haina wanachama na zaidi imejaza magaidi.
Ukipigania haki za wananchi na taifa kwa ujumla umekuwa mwanaharakati,naona mmeshikwa pabaya,tulia dawa iingie utataga tu mwaka huu...
 
Achana na Ubavicha swala la msingi hapa ni kura za nyongeza....
Zilikuwa ngapi na zilitoka majimbo gani na vituo gani huna aibu kuongea mambo ya kusadikika na hii mantiki ya hoja mantiki ya hoja chadema haipendwi.
 
kama uitaki utalazimishwa kuipenda. ikishindikana basi fanya mipango mapema ya kuhamia uarabuni kama wenine ambao sitapensa kuwataja!
 
peleka up.u.mb.f wako magwanda mkubwa,hio lugha yako ya falsafa kamfumbe kiongozi wako anaeenda hija na k.m.a.d.a.

Taratibu mkuu, inabidi tuungane kukemea maovu ya chadema, tusitukanane mkuu tutazidi kuwapa nafasi hawa watu wafanye maovu mengi zaidi
 
Sawa tumekusikia Baba V ukimaliza pitisha boksi la kuomba mia mia halafu jirushie bomu

Aaah wapi.. na sisi tunaanzisha project kama ile yenu Lumumba, ila sisi itakuwa 2500/= si unajua hatuna vyanzo vya mapato ya kifisadi kama nyie chama kubwa...!
 
Last edited by a moderator:
Chama ambacho mwenyekiti wake ni proven DHAIFU, na waliyemwamini na kumpa uwaziri mkubwa amethibitishwa na mahakama kuwa kweli ni MP.UMBA.VU na katibu wake mkuu ni JANGILI KUU na naibu wake bara ni MASTERMIND wa mipango yote ya mauaji, utekaji, kumwagia watu tindikali,na kurusha mabomu mikutanoni ni chama chenye laana. waombe

MPU.MBA.VU lazima atakuwa anaongoza wapumbavu. Katika hili SUGU amezidi kudhihirisha kuwa kichwani hakuna kitu, ni MPU.MBA.VU sana, anamtUKANA waziri mkuu anayeongoza watanzania zaidi ya mil. 40 anataka kumaanisha watanzaia wote ni wapumbavu. HIVI CHADEMA MMeridhika kabisa SLAA KUTUMBUA fedha za chama na JOSEPHINE MSHUMBUZI huku mkiona wengine ndiyo watenda maovu? Hii ni akili gani? Mawazo ya wanachadema wengi ni matokeo ya watu wawili tu kubinya uhuri wa kuongea, na ndiyo maana wale wanaoshindwa kama akina SHONZA na MTELA wanapotoka huko huwaambia watanzania mambo ya hatari sana. Binafsi naona kama CCM ikishindwa kabisa kuongoza nchi bora JESHI likatwaa nchi kuliko mabepari, majambazi, wazinzi, watu wasiyomp na elimu hata ya kujitambua kuwa kutokana na nafasi walizonazo wanapaswa kuchagua maneno ya kuwatoka vinywani mwao
 
Zilikuwa ngapi na zilitoka majimbo gani na vituo gani huna aibu kuongea mambo ya kusadikika na hii mantiki ya hoja mantiki ya hoja chadema haipendwi.

Mtu akiwagusa tu na ukweli kidogo tu mnavyopagawa...!!
 
Aisee..! yatapitaje!?? ya mbuni makubwa sana ujue..!? au ana uzoefu tangu nyuma na shughuli hiyo..!?
Anauzoefu toka kwa maliberals,hawataki kuvunja ndoa yao na haki sawa,siunajua chama cha mrengo wa malawi....
 
Zilikuwa ngapi na zilitoka majimbo gani na vituo gani huna aibu kuongea mambo ya kusadikika na hii mantiki ya hoja mantiki ya hoja chadema haipendwi.

Mbona Profesa kasema wazi kabisa na vyombo vya habari vilimnukuu? Tuliwasubiri mkanushe hola....mpaka leo kimya...
Majibu sahihi ya kura ngapi, wapi Profesa angeulizwa angeyajibu........
 
Back
Top Bottom