marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
Sema pole pole mkuu..hili neno waliberali likitajwa kuna watu wanaumwa.......Anauzoefu toka kwa maliberals,hawataki kuvunja ndoa yao na haki sawa,siunajua chama cha mrengo wa malawi....
Sema pole pole mkuu..hili neno waliberali likitajwa kuna watu wanaumwa.......Anauzoefu toka kwa maliberals,hawataki kuvunja ndoa yao na haki sawa,siunajua chama cha mrengo wa malawi....
mkuu una akiba ya tindikali hapo? Samahani lakini
Akili ya kutukana watu anayo.
Ila maliberal inaivumilia hahahaaaaaa....Asante mkuu, hawa chadema si wa kuwavumilia hata kidogo
Aaah wapi.. na sisi tunaanzisha project kama ile yenu Lumumba, ila sisi itakuwa 2500/= si unajua hatuna vyanzo vya mapato ya kifisadi kama nyie chama kubwa...!
Kwa hiyo 2,500 unapata kete ngapi za mjani,halfu hii kitu ni ya Arusha kwa Lema au Iringa kwa Msigwa?Aaah wapi.. na sisi tunaanzisha project kama ile yenu Lumumba, ila sisi itakuwa 2500/= si unajua hatuna vyanzo vya mapato ya kifisadi kama nyie chama kubwa...!
Bila samahani, sina mkuu, sina labda ufanye mawasiliano na wakemia wanaweza kukusaidia
Yale magaidi ya cdm yanapelekwa lini mahakamani.
Kwa hiyo 2,500 unapata kete ngapi za mjani,halfu hii kitu ni ya Arusha kwa Lema au Iringa kwa Msigwa?
hivi CHADEMA mnafikiri mnaweza kuwabambikiza CUF ushoga wenu kirahisi hivyo? WENJE Mwenyewe aliyesema ushoga bungeni ni shoga na ukitaka kuthibitisha hilo miulize BONDIA MADA MAUGO kama utaweza kumpata.Ila maliberal inaivumilia hahahaaaaaa....
vipi ule ushahidi wa kujirushia bomu aliusema MAkengeza haujakamilika?
Joto la siku linawatoka hahahaaaaa,ujio wa obama yako macho arch-liberals na magamba watakuwa mstari wa mbele katika mapokeziSema pole pole mkuu..hili neno waliberali likitajwa kuna watu wanaumwa.......
Ziweke mkuu nithaminishe usijekuwa unanisainisha mkataba wa kupeleka gesi bagamoyo..
Kitu cha ArushaMkuu hebu funguka nini maana ya mjani?