Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,790
Mh!Napenda pesa lkn hzo sifa hazinihusu hata moja
Mh!Napenda pesa lkn hzo sifa hazinihusu hata moja
Nmekuvulia kofia[emoji3] [emoji119]
Ntakutag miss Shunieinapatikana wapi
Umenikera maana hujaweka maparachichiTopic yk umechanganya points hovyo hovyo umechanganya mapeazi, matembele, matango, mafenesi sehemu 1
Khaaaaaaa!!Siku zote nasema,wanawake wote wanapenda hela,wote yani.
Ukimvalisha mbuzi nguo,kofia na miwani ukamuweka kwenye uskani wa gari then ukashusha kioo kidogo kila mwanamke atakayepita pale atampungia mkono yule mbuzi akijua ni mwanaume
notification haziji niambie nitafute au nipe linkNtakutag miss Shunie
Ha ha ha haKhaaaaaaa!!
Ngoja Miss Chagga aone hii
Ha ha haLeo siku yetu embu toeni thread ata za kutu appreciate sio kila siku wanawake hv sijui vile ilimradi hamna zuri
Mnatuonea meeeen, hamna binadamu asiyependa pesaHa ha ha
mkiona hivyo ujue ni pasua kichwa
nanyie mnahonga wanaume?Mnatuonea meeeen, hamna binadamu asiyependa pesa
Wanasema pesa sabun ya rohoo
Ndio ila si inakua kwa tafsiri nyingine huonagi wanawake wenye pesa zao wanawahudumia vijana wadogonanyie mnahonga wanaume?
Tafuta post imeandikwanotification haziji niambie nitafute au nipe link
kweli kabisaSijui nisemeje unielewe,lakin hayo ni mapungufu na tunayakubali maana samaki 1 akioza......
*Sina maana ya kujitetea lkn kiuhalisia wakati mwingine munasababisha wenyewe,utakuta binti kaoga na kwakua umemtaman basi unapiga cm ya uongo ili akuone unazo nn unategemea kifuate?
*Umepanga kutoka na msichana huna hela na uwezo wako wa chini unakopa hela ili umpeleke sehemu ya juu nn unamjenga akilin kwake??
*Sawa umasikin wetu unatufanya tupende hela lkn kumbuka kuwa watoto wa kishua ndio wanaongoza sababu hawajazoea maisha ya ajabu (magum)na ili umuoneshe unaweza unajaa maden na lawama.
*kupenda kwetu hela kunategemea kwa mara ya 1 mtu umemuonesha haligani.
Nb;Sijakataa tuhuma hiyo naipokea mana ni wanadam wenye mapungufu.tuoneshen uhalisia wenu ili tiwapende mulivyo.
Ha ha haNdio ila si inakua kwa tafsiri nyingine huonagi wanawake wenye pesa zao wanawahudumia vijana wadogo
Ila mie sijawah kuhonga,kuna dawa hiyo naitumia noma yani nikimtaka hata Beyonce nampataNdio ila si inakua kwa tafsiri nyingine huonagi wanawake wenye pesa zao wanawahudumia vijana wadogo
sawaTafuta post imeandikwa
KUPENDWA RAHA JAMANI
Kwenye Avatar ni wewesawa
Teh teeh nigaie na mm nimkamate mwenye pesaIla mie sijawah kuhonga,kuna dawa hiyo naitumia noma yani nikimtaka hata Beyonce nampata