Sifa za wanawake wanaopenda sana pesa

Sifa za wanawake wanaopenda sana pesa

Utakuta mwanamke hajasoma hana kazi yoyote ya kumpa kipato chochote alafu anakuambia anataka kuolewa na mwanaume Mwenye hela,hata sisi wanawake masikini hatuwataki kabisa,ukichanganya shida na pesa,shida zitakula pesa.
Duuuu!!

Ila Kama ni masikini lakini kipaumbele chake ni pesa tupa kule
 
Mkuu ni shida sana.

Kuomba hela sio shida, shida ni kupenda hela kuliko pitiliza
Ukizoea kuomba hela akili yako yote itaisha then utaona ukipata shida kitu cha kwanza ni kuomba hela. Mimi huwa nilishakaa sehemu nikajiuliza hivi mimi nikiombwa hela huwa namchukuliaje yule anayeomba, nikaja kuona sina sababu ya kuomba hela labda kwa mzazi wangu wa kunizaa tuu
 
Yeah Ni washamba sana kwahyo kila anacho ona machoni pake ni kipya anajikuta anatamani awe nacho.
Wamejaa Sana mjini mkuu.

Nikiwa chuo mademu wengi walikuwa Kama vichaa yaani kila fasheni wamo. na asilimia kubwa wametoka familia masikini.

Hata baadhi ya wanaume chuoni wanaojifanya masharobaro wengi wao pangu pakavu
 
Ukizoea kuomba hela akili yako yote itaisha then utaona ukipata shida kitu cha kwanza ni kuomba hela. Mimi huwa nilishakaa sehemu nikajiuliza hivi mimi nikiombwa hela huwa namchukuliaje yule anayeomba, nikaja kuona sina sababu ya kuomba hela labda kwa mzazi wangu wa kunizaa tuu

Ulishutuka mapema( in majuto voice)
 
Wadada wa sikuiz vibom vimezidi. Alaf sikuiz hata wakikuomba pesa kwenye simu. Ukimwambia sina.. utasikia kanuna.. huko kwenye simu.
Kuna mmoja nilimtokea kipindi Fulani akaleta pozi .

Sasa karudi mwenyewe kwa kasi ya 4g ooooh!!! I love u ohhhhh nioe oooh!!!! Sijui nini nikasema wacha nimsikilizie nione itakuwa coz sikuwa na stimu nae


Baaada ya wiki moja( naona alivumilia sana) nikasikia naomba 10000 nikaweke stiming nywele zangu zinakatika [emoji15] pumbavu sana

Nikamwambia sina na si kweli sikuwa nayo nilikuwa na madafu mengi sana wiki hiyo oooooh basi nipe buku tano ikabidi nimtungie sababu kwamba nimetoka kulipa kodi ya pango,michango ya harusi kibao na Nina mgonjwa akasema OK usiwaze .....[emoji3] tangu siku hiyo kapunguza chats hahahahaah pumbavu zenu mnaopenda pesa


Nishaamua kuwa dume suruali pesa yangu niliyoitolea jasho nitakula mwenyewe na MUNGU(sadaka) na washikaji zangu Wa ukweli mwanamke kuiona pesa yangu tena basi something like business venture in the making ......[emoji3] yaaani "unatoa kitu unapata kitu "Ila wewe uwe Wa kwanza kutoka kitu[emoji2]

Dedication: DUME SURUALI -MwanaFA[emoji12] [emoji13] [emoji14]
 
Kuna mmoja nilimtokea kipindi Fulani akaleta pozi .

Sasa karudi mwenyewe kwa kasi ya 4g ooooh!!! I love u ohhhhh nioe oooh!!!! Sijui nini nikasema wacha nimsikilizie nione itakuwa coz sikuwa na stimu nae


Baaada ya wiki moja( naona alivumilia sana) nikasikia naomba 10000 nikaweke stiming nywele zangu zinakatika [emoji15] pumbavu sana

Nikamwambia sina na si kweli sikuwa nayo nilikuwa na madafu mengi sana wiki hiyo oooooh basi nipe buku tano ikabidi nimtungie sababu kwamba nimetoka kulipa kodi ya pango,michango ya harusi kibao na Nina mgonjwa akasema OK usiwaze .....[emoji3] tangu siku hiyo kapunguza chats hahahahaah pumbavu zenu mnaopenda pesa


Nishaamua kuwa dume suruali pesa yangu niliyoitolea jasho nitakula mwenyewe na MUNGU(sadaka) na washikaji zangu Wa ukweli mwanamke kuiona pesa yangu tena basi something like business venture in the making ......[emoji3] yaaani "unatoa kitu unapata kitu "Ila wewe uwe Wa kwanza kutoka kitu[emoji2]

Dedication: DUME SURUALI -MwanaFA[emoji12] [emoji13] [emoji14]
Hahahaaha!!

We ni jangili
 
Back
Top Bottom