Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
- #241
..siku hizi wanaume wanakujengea nyumba au kukununulia gari, lakini hati ya nyumba/kadi ya gari ipo kwake na majina yake.tafuta pesa basi uje unijengee mimi ghorofa ..
mimi huo ujinga siyo sitaki namawambia akae na aendeshe hiyo gari kadi anipe mimi .. nataka kudhalilishwa mimi.. kuna mrembo mmoja alikamtwa kwa kesi ya wizi ya gari kisa alimpiga kibuti mpenzi wake ni fedheha..siku hizi wanaume wanakujengea nyumba au kukununulia gari, lakini hati ya nyumba/kadi ya gari ipo kwake na majina yake.
..tafuteni kwa nguvu zenu, hatufurahi kuona dada zetu mkidhalilishwa kisa mali za kuhongwa.
Ujuha utapewa vipi kitu bila kuwa udhibitisho kama chako mie nyumba sikai wala gari lake kama ananipa anipe lote lote mapenzi yenyewe haya akitoka tu hapo kwako kakutana na mwanamke anamtongoza balaaamimi huo ujinga siyo sitaki namawambia akae na aendeshe hiyo gari kadi anipe mimi .. nataka kudhalilishwa mimi.. kuna mrembo mmoja alikamtwa kwa kesi ya wizi ya gari kisa alimpiga kibuti mpenzi wake ni fedheha
Ujuha utapewa vipi kitu bila kuwa udhibitisho kama chako mie nyumba sikai wala gari lake kama ananipa anipe lote lote mapenzi yenyewe haya akitoka tu hapo kwako kakutana na mwanamke anamtongoza balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
waneshindwa elewa hilo