miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
hata mfanyanje sibadilishi ,, semeni yote ukipata pesa njooHukuwa na haja ya kuandika maneno meeeengi ,ungesema tu mwanamke anaependa pesa yuko kama miss chagga !!
hata mfanyanje sibadilishi ,, semeni yote ukipata pesa njooHukuwa na haja ya kuandika maneno meeeengi ,ungesema tu mwanamke anaependa pesa yuko kama miss chagga !!
We mwenyewe unazipenda ndio maana unazipigia kelele humu.
Hukuwa na haja ya kuandika maneno meeeengi ,ungesema tu mwanamke anaependa pesa yuko kama miss chagga !!
we ndanganye mwenzio aje nimbaraseMiss Chagga hapendi pesa ni mashauzi tuu Mkuu.
We ni Queen dramaehata mfanyanje sibadilishi ,, semeni yote ukipata pesa njoo
haya bwanaWe ni Queen dramae
Ila wanjanja tumekujulia.
Unasema walio na pesa ili upunguze rate ya wanaume wasumbufu na waoga.
Lakini na uhakika 49% haupo hivyo
Acha kumtishia mwenzio weeye.we ndanganye mwenzio aje nimbarase
ha ha ha kwa heriAcha kumtishia mwenzio weeye.
Ila nadhani trick yako humu jamvini inafanya kazi Kwa sababu nauhakika wanaume wengi waoga hata hawakusogelei. Wakiona hata komenti yako huscrol haraka Kama hawaioni
Mimi ulinipendea nini asa?haya bwana
pesaMimi ulinipendea nini asa?
wasalimieHa ha ha ha.
Samahani kwa kutoa siri
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] .pesa
asante my friendZimefika mkuu.
Happy women day.
[emoji317] [emoji317]Usipate shida Mkuu.
Wengi wa wanaopenda pesa ni wanawake masikini mkuu.
Sijasema wote.
Wee nenda pale Ambiance, Mori, Mwananyamala, manzese, temeke, buguruni. N.k uje unambie wanaojiuza kwa sababu ya pesa ni asilimia ngapi ni masikini.
Ni zaidi ya 89% ya wanaojiuza ni kwaajili ya umasikini hayo mengine ni % chache
Wapo wasiopenda mkuu.hakuna mwanamke asiyependa pesa...hata kama ni dada yako
ndio maana viliumwa vyote wao wakawa wa mwisho means kazi yao ni kutumia si kutafuta
Nimebaki kucheka tuu.Inaelekea we chapaa huna alafu kunadem umemzimikia kakupiga mzinga mkubwa sasa mapovu yake unatutolea sisi