Sifa za wanawake wanaopenda sana pesa

Sifa za wanawake wanaopenda sana pesa

Acheni mawazo hayo hao watoto wavigogo wanaojiuza wanatafuta nn acheni hizo sijapenda hiyo namba 2
 
Baasi mie nikajua sifa za wanawake wote kumbe wa humu jf aiseee pole,wamekufanya nn wanawake wa humu??comments za watu mara nyingi hazina uhalisia na maisha yao halisi.

Sijamaliza gazeti lote mood ilikata baada ya kuona unatoa mifano kwa comments.

Judge me or do whatever,thread yako haina mantiki labda ungetafuta mtu akakusaidia kidogo kuweka ka uhalisia kwa maisha ya uraian zaidi kuliko comments za humu.

HAPPY WOMEN'S DAY
Imekuchoma kunako...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kumtembelea mtu kosa! Ukienda unaandikiwa vitu km nusu mshahara wako! Ukienda Mara ya pili mshahara umeisha looooh! Ndo maana lawana kwetu haziishi.Wanaume hatujaliwa kukutamkia wazi lkn ikibidi kimbia faster
Hatari sana mkuu
 
Acheni mawazo hayo hao watoto wavigogo wanaojiuza wanatafuta nn acheni hizo sijapenda hiyo namba 2
Usipate shida Mkuu.

Wengi wa wanaopenda pesa ni wanawake masikini mkuu.
Sijasema wote.

Wee nenda pale Ambiance, Mori, Mwananyamala, manzese, temeke, buguruni. N.k uje unambie wanaojiuza kwa sababu ya pesa ni asilimia ngapi ni masikini.
Ni zaidi ya 89% ya wanaojiuza ni kwaajili ya umasikini hayo mengine ni % chache
 
Sina sifa ata moja hapo!!! Kumbe mie si mpenda pesa!!!
Mkuu ukipenda pesa unakosa sifa ya mke mwema atokaye kwa Mungu.

Usije kuomba maana apendaye fedha hatashiba fedha ndio maana unaweza kumpa mwanamke hata milioni 10 na bado akataka zingine na zingine
 
Ukija mfanya mwanaume kitega uchumi hakuwezi kua na upendo hapo. Hela iko addictive, siku akikosa utatangatanga kutafuta mwenye nazo.
 
Back
Top Bottom