Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
Bahili ni mtu ambae hatoi pesaTunaposema bahili haimaanishi kuwa hampi pesa mchuchu wake ila anatoa kwa mahesabu na bajeti
Bahili ni mtu ambae hatoi pesaTunaposema bahili haimaanishi kuwa hampi pesa mchuchu wake ila anatoa kwa mahesabu na bajeti
Kuwa mwanaume,mwanaume hayupo kama unavyoreact....hizo mambo za kike kujibishana...hata kama unapumuliwa na wanaume jitahidi kujificha kidogo.😂😂😂😂😂Its them. They are happy with it. Sasa hutaki zihamie mdomoni aumind yoh business lady. Hutoweza kuwamaliza wanaume.
Yote kumi. 11 just mind yoh businessYote Tisa,kumi JUST BE A MAN

Haya bhanaNdo ivo kila MTU adeal na yake.Mambo yetu hayawahusu mkuu
Ni kweli mwanaume ana utu na utulivu ila sehemu zingine unafeli sana to yeye ujue.Eti uwezo wa hoja,kama halijakugusa hata moja usingeandika.Be a man.Mwanaume kama mwanaume ana utu na utulivu.
Kwani kupumuliwa ajabu? Matusi yanatoka wapi tena? Anyway napumuliwa na mimi nawapumulia wote ke na me. Umefurahi?Kuwa mwanaume,mwanaume hayupo kama unavyoreact....hizo mambo za kike kujibishana...hata kama unapumuliwa na wanaume jitahidi kujificha kidogo.![]()

Yeah naliwa nami nakula. Ukitaka kula ni lazima uliwe-Genius JK.linaliwa kiboga
...umejitahidi kujibanabana lakini wapi
![]()
halafu ni kama unaogopa sana challenge. Ukiwa na roho ndogo ni better tu usilete nyuzi zako humu. Ukileta sacrifice yourselfNenda umuambie James delicious be a man uone utavochambwa, watu washanogewa, Utaonekana unaleta usiku tuu.😂😂😂😂Be a man...huwez shindana na kulikokuzaa
Mwambie huyo, ni vile tuu haijulikani, inasemekana ingekuwa watu wanapumuliana huo utamu wa hapo wangejilaumu sikuzote walichelewa Wapi, na ndo maana mapunga hawaachagi,Kwani kupumuliwa ajabu? Matusi yanatoka wapi tena? Anyway napumuliwa na mimi nawapumulia wote ke na me. Umefurahi?
Lete uthibitisho kuwa kujibizana ni mambo ya kike. Otherwise ni pumba tu umeongea.
Kabisa. Yaani mwanamke bwege anaona njia rahisi ya kumshinda mwanaume kihoja ni kumuambia unapumuliwaMwambie huyo, ni vile tuu haijulikani, inasemekana ingekuwa watu wanapumuliana huo utamu wa hapo wangejilaumu sikuzote walichelewa Wapi, na ndo maana mapunga hawaachagi,
na ndo maana Sodoma na gomora iliteketezwa, sababu isingewezekana kuacha hio tabia, hivo dawa ilikuwa ni kuwafutilia mbali wote na kuanza upya. Hio tabia hata umuhim wanawake unakuwaga hamna Tena.
. Halafu wanawake vimbilikimo(vidumu) ndiyo wanakuwaga na hizi mambo.Basi tuu tunasitiriana humu ndani na kuheshimiana





JF ni pori sio kichaka tena.