Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,938
Shindwaaa 😂😂😂🥰🥰🥰🥰 mjiandae kuitwa mashangazi ila sharti muwe na mawowowo ya haja 🥰🥰 Ni sharti la kiukoo 🥰🥰🥰
Wowowo ukiwa nalo ww wizo inatosha
Shindwaaa 😂😂😂🥰🥰🥰🥰 mjiandae kuitwa mashangazi ila sharti muwe na mawowowo ya haja 🥰🥰 Ni sharti la kiukoo 🥰🥰🥰
Nani alikuambia utanioa?? Hata ukitaka au nitake haifai.Eee kaangalie kwngn mi sio muoaji kbs
Haya mama jioni njemaNani alikuambia utanioa?? Hata ukitaka au nitake haifai.
basi tu hata nsiongee sana 🌹🌹 wangu nakupenda tu mm bishoo kabwelaOkay unatakaje?? Ili ufurahi zaidi
Unaenda wapi mchepuko wangu?? Usisahau lile ombi😊😙Haya mama jioni njema
Broo umeshaanza kumtamani kijana wa watu. nakupa sifa yake moja atakuwa anavaa vipensiHalafu na sifa za wewe mario...?
Ndio maana vijana wengi wanageuzwa1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Hamna ombi hapa! Ngoja niangalie mpira basUnaenda wapi mchepuko wangu?? Usisahau lile ombi😊😙
Umekasirika heHamna ombi hapa! Ngoja niangalie mpira bas
Sijakasirika....sasa nikasirike kisa nnUmekasirika he
Kisa nimekuambia mchepuko yaisheSijakasirika....sasa nikasirike kisa nn
Mi sijakasirika ww tu unajishtukia! Njoo nikupe t shirt ya taifa stars uvae tuangalie gameKisa nimekuambia mchepuko yaishe
Umekasirika ndio 🤣🤣🤣Sijakasirika....sasa nikasirike kisa nn
Hii kapu yenu nataka ifike mbali mna match sana 😂😂😂Mi sijakasirika ww tu unajishtukia! Njoo nikupe t shirt ya taifa stars uvae tuangalie game
🤣🤣🤣🤣Afu ww unazingua ujueHii kapu yenu nataka ifike mbali mna match sana 😂😂😂
Afu ww ndo unampampisha huyo bintiUmekasirika ndio 🤣🤣🤣
Sisi km dada zako upande wa kiumeni tumempitisha maua awe wako wa shida na raha 😂😂😂😂Afu ww ndo unampampisha huyo binti
Ngoja nikutafutie ban😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 wizooShindwaaa 😂😂😂
Wowowo ukiwa nalo ww wizo inatosha