Sifa za Mashangazi Original

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
7,046
8,622
1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private),
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na nyama za mikono).
5. Awe single Mother (Mama Junior).
6. Awe mlevi wa pombe Kali,

NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Ilala, Buza, Tandika, Mbagala, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangazi gani anashindia dera na ndala miguu imepauka
6d1a03b978ac44a08ae51c0f0dd7c39d_408082388_793210812614097_49091408974233983_n.jpg
979562b794454b8c895ba06353c11bdd_408156039_793210865947425_8133431947743009830_n.jpg
d429892d812e43368a73f73e485735cc_408163487_793210822614096_2052063057176113277_n.jpg
 
1. Awe na kwake (private),
2. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
3. Awe na wezere,
4. Awe single Mother,
Mimi ninani hata nikubishie.

Shangazi gan anataka umlipie Kodi, umvishe, Kula juu yako ?Kupendeza juu yako?.


Huyo sio Shangazi bhanaa, huyo ni chuma ulete tu aliyekua kiumri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom