Sifa za Mashangazi Original

Sifa za Mashangazi Original

Awwww muanti wangu mshwiti shwiti soon unakuja!!!
Atakuwa hanshamu km baba ake, full ushombe ushombe

Anakosaje kuruka ruka aunt yake nikimissiwa na mama ake kwa mfano.? Aje tumtoe na tarumbeta
cocastic umesikia wizo anatuletea aunt, tujiandae kuitwa mashangazi
Wizooo wetu yuko winja winja uduguuu, shangazii tunae.
Kigoma na tarumbetaaa vipoo vya kushatooo, mama shughuri nipoo afu naimudu sasa,

huyo shombeshombe yupiii? Wee baba wa mtoto si jamaa wa kipare yuko humuuu? Au
 
Ndo vijana wa sasa hizo
ndo haso zao walizobakiza..una kuta kiboda boda au ki first year... kidinyoo kinakuchekea chekea kwa sbb kinajua una house na kigari cha kukupeleka misele yako ya hapa na hapa basi kinakuzoea zoea bila adabu aisee huwa navifurumusha na mazoea na hivyo vitoto ni kukaribisha nuksi...magari yenyewe ya familia... au mshangazi lazima uwe umefiwa na mume? Eti wananzengo...
nyie nimecheka had baas, kwann lakini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom