Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Marahaba mdogo wangu.....shikamoo braza!
Uko pande gani leo?
Marahaba mdogo wangu.....shikamoo braza!
Unazo unipe?unatafuta sifa sasa eeh
Marahaba mdogo wangu.....
Uko pande gani leo?
Dah kuna jamaa yangu amekuja bunda jana.....ukiwa hapo usisahau kwenda kwenye mchemsho wa ukweli ya kuku pale town katimusoma bruh!
dah.....nguo zimekauka.....?
Hi hi hi...jamaa alitaka kukuingiza kingi kwa gia hiyo eehh...!.kujisifia umetembelea nchi mbalimbali kumbe hata passport huna
Kujisifia hupendi ngono kumbe hujawahi kutongozwa