Andaa wapambe wa upande wakoJamani jaman...this tunaita a golden chance😘
Tulia wewe 😂sema vizuri acha udomozege🤣
Niseme nini mkuu ?mbona kama unataka kusema ila husemi?
sema bana
miaki mia saba uzuri tunawafahamu kama kina wema tu ujanja wao wote wameisha kuruka ruka kijichi ya mbagala itakua nyinyi ambao ata kingireza cha kuombea maji tu kinawashinda kazi kuomba omba hela za kufanyia vitu vya kijinga
Eti "anakufanyia surprise very often"...
Ma tamthilia ya kituruki na kikorea yamewajaa vichwani.....
Mtaishia kupata "bongo movie"mkiendekeza hizo tamthilia
Mkuu, nakuona tokea jana. Huyo unayemuongelea ni habari za kale, zilipendwa.The Bold 😘
Duh sawaMkuu, nakuona tokea jana, huyo unayemuongelea ni habari za kale, zilipendwa.
Nina maisha mengine sasa hivi, na ndio huyo ninayemuongelea tokea jana na siku zote katika post zangu.
Asante
hahaaaaa jokes tu dont take serious nachangamsha genge tuYani umeandika kwa hasiranaona dawa imeingia
And for the correct I have a job and am independent ila I have a man who is very responsible and he takes good care of me , a real man
hahaaaaa jokes tu dont take serious nachangamsha genge tu
Aisee utazurura Dunia nzima Lakini lamer hutokuja kupata mwanaume mwenye sifa zote hizo.
Niko palee
Women need
Care
Attention
Support
Honesty
But if you do not have enough time to do all the things, you have to join all the first letters together and give it to her you're nearly 99.999% to make her feeling happy.
Kuna sehemu niliikuta hiisijui ni kweli?
MAGUFULI4LIFE.
Pathetic perception
Ni mwanaume mpumbavu tu anaweza kuwa na sifa hizo zote. Na ni mwanamke mbinafsi tu na asiyejua kutafuta pesa atahitaji sifa zote hizo kwa mwanaume. Kaka zangu amkeni.
Sifa za wanaume 16 zikitajwa ndani ya uzi mmoja.
Hizo sifa wanaume wote tunakuwa nazo kabla ya kuoa,ila tukishaoa tu zinaanza kupungua.....1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Hivi Hayo ni ma roboti anayotangaza elon musk au wakina sisi tulipo mtaani mana naona ni wanaume 16 tofauti kwenye mwili mmoja
kuna mijanaume inapenda kuteleza tu daily
My dear hakuna mkamilifu akupe vyote hivo lazima kasoro hata km sio Kwa ukubwa huo lakini hawez kuwa na kilakitu haponi uongo